Akisimama 2025; Narudisha kadi ya CCM hadharani

Akisimama 2025; Narudisha kadi ya CCM hadharani

samia is misfit to the position.She's advised to step down but still reluctant,the good perfomer should know when to leave the stage.
Hakika.

Nazani ataelewa huko mbeleni.
 
Unaongelea nani? Wewe nani hata CCM ikupaparikie, wameondoka kina Lowasa na wakarudi, itakuwa wewe unayejificha nyuma ya keyboard?


CCM haitegemei kura za wenye kadi za CCM pekee, kama ulikuwa huelewi basi leo umeelewa.
Nambie tu ukweli kuwa CCM haitegemei kura hata moja kukaa madarakani, maana ingekuwa inategemea kura leo isingekuwepo madarakani. CCM inahitaji vyombo vya dola tu visivyojitambua basi inapata uhakika wa kukaa madarakani.
 
Huyu atawagawa wapiga kura.

Huyu aje awe waziri fulani inatosha. Kwenye Urais kura zitagawanyika mno.

CCM haitegemei kura hata moja kukaa madarakani. Ingekuwa inategemea kura dhalimu asingenajisi uchaguzi wa 2020.
 
Huyu atawagawa wapiga kura.

Huyu aje awe waziri fulani inatosha. Kwenye Urais kura zitagawanyika mno.
Zikigawanyika zitakusanywa ondoa shaka

Wewe kapige kura rudi nyumbani subiri matokeo usiwe na shaka
 
Back
Top Bottom