Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.

Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.

au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?

Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Uzi wake nautafuta siuoni hebu mfungulieni.
 
UNA IDs NYINGI KIPUMBAVU TU MAANA HAZIKUSADII CHOCHOTE. UNATAKA SIFA ZA KIJINGA TU JF.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijha ) iliyokubuhu hapa kujua.
 
Hana akili yaani anatambulika kirahisi sana. Watu wafupi sana wana shida wanapenda sana attention.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijha ) iliyokubuhu / tuliyokubuhu hapa kujua.
 
Ww si ndo ulisema tutafungwa kisa umekula Ban?
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijha ) iliyokubuhu / tuliyokubuhu hapa kujua.
 
Wanao mchukia GENTAMYCENE Wajitafakari sana Kwani kwa kuendeleza chuki dhidi yake, ni Kumuongezea umaarufu binafsi Namkubali sana Make Huwa anawapa makavu hao, Utopolo Gongo Wazi.
Na huwa anawapatiaaa kweli kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo humu JF kuna watu wanajitia wana akili sana na wajuaji kuliko wengine, kumbe lopolopo tu. Mambo mengine kama mtu hajui awe anakaa kimya tu kuliko kupinga kijinga jinga.

Mimi Genta huwa namwelewa kwa vingi, na naamini hata JF haikukosea kumpa Ila tuzo, Ila wajinga wajinga hawakuelewa. Huyu Genta nimemfatilia game nyingi tu na speculations zake zika-click; ya hivi karibuni kabisa kabla ya derby ya Kariakoo ilikuwa juu ya mechi ya marudiano ya Taifa Stars vs Uganda. Mlifatilia ule uzi wake?
 
Tatizo humu JF kuna watu wanajitia wana akili sana na wajuaji kuliko wengine, kumbe lopolopo tu. Mambo mengine kama mtu hajui awe anakaa kimya tu kuliko kupinga kijinga jinga.

Mimi Genta huwa namwelewa kwa vingi, na naamini hata JF haikukosea kumpa Ila tuzo, Ila wajinga wajinga hawakuelewa. Huyu Genta nimemfatilia game nyingi tu na speculations zake zika-click; ya hivi karibuni kabisa kabla ya derby ya Kariakoo ilikuwa juu ya mechi ya marudiano ya Taifa Stars vs Uganda. Mlifatilia ule uzi wake?
Jiandae ( Kaa tayari ) kuambiwa na Majuha ( Fools ) wakiongozwa na Tate Mkuu na Wengineo kuwa hi ID yako ni Yeye ( yaani ni Multiple IDs ) zake hapa JamiiForums sawa?
 
Njoo nikufundishe namna ya kubadili mwandiko(maudhui) ya ID iliyopigwa Ban na ID hii.
Anza Kwanza kujifundisha jinsi ya kuwa na Akili na kutokuwa Juha ( Fool ) tena Maishani mwako sawa?
 
Back
Top Bottom