Akiwashangaa Mbowe na wafuasi wake, Anaandika Wakili Jebra Kambole: "Kwani nani Hayataki Haya?

Akiwashangaa Mbowe na wafuasi wake, Anaandika Wakili Jebra Kambole: "Kwani nani Hayataki Haya?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ukweli mchungu:

IMG_20241226_193357.jpg


Labda tusaidiane kufahamu, hivi kweli ni nani hataki haya?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tuzijue "Sera za Mbowe" dhidi ya "Sera za Lissu," uchaguzi mwenyekiti CHADEMA 2025
 
Ipo hivi,
Huyo jamaa ni wakili anaeheshimika, ila mapenz yake kwa TL yanampofusha

1.Kwa Mujibu wa katiba ya Tanzania, itakuwa ni marufuku kutunga sheria inayoenda kinyume na matakwa ya Katiba ya JMT .. swali, Katiba ya JMT imeweka ukomo wa Ubunge viti maalumu?

2.Wabunge Special seats wakilalamika na wabunge majimboni wawaunge mkono wenzao itakuwaje?
Kwanini asisitize uchaguzi huru na haki kuanzia ngazi ya chama na rating zitoke majimboni/mkoani?

3.Kuna tatizo gani la kifedha CDM kutoka kwa CAG ambalo TL anataka kulitatua

4.Msimamo, nini kinamzuia kifanya hivyo sasa?

Harakati na siasa haziivi chumba kimoja, .. TL atakuwa kiongoz wa CDM wa muda mfupi sana kuwahi kutokea...

A seasonal politician
 
Ipo hivi,
Huyo jamaa ni wakili anaeheshimika, ila mapenz yake kwa TL yanampofusha

1.Kwa Mujibu wa katiba ya Tanzania, itakuwa ni marufuku kutunga sheria inayoenda kinyume na matakwa ya Katiba ya JMT .. swali, Katiba ya JMT imeweka ukomo wa Ubunge viti maalumu?

2.Wabunge Special seats wakilalamika na wabunge majimboni wawaunge mkono wenzao itakuwaje?
Kwanini asisitize uchaguzi huru na haki kuanzia ngazi ya chama na rating zitoke majimboni/mkoani?

3.Kuna tatizo gani la kifedha CDM kutoka kwa CAG ambalo TL anataka kulitatua

4.Msimamo, nini kinamzuia kifanya hivyo sasa?

Harakati na siasa haziivi chumba kimoja, .. TL atakuwa kiongoz wa CDM wa muda mfupi sana kuwahi kutokea...

A seasonal politician

Kulikoni kupambana na mleta mada badala ya kupambana na hoja zake?

Kwani wewe huyataki hayo aliyoorodhesha?
 
3.Kuna tatizo gani la kifedha CDM kutoka kwa CAG ambalo TL anataka kulitatua
Kwann fedha itafutwe na mtu au familia? Ndiyo maana Lisu anasema iwekwe mifumo ya chama kupata fedha za kuendeshea shughuli zake. Mbowe amekuwa akitumia uchochoro huu kukikopesha na kukidai chama mabilioni ya fedha kila mwaka.

Pointi na 1 na 2, Jebra ni wakili, katiba ndiyo msahafu wake, hivyo huwezi kuwa unajua katiba kuliko yeye.
 
Ipo hivi,
Huyo jamaa ni wakili anaeheshimika, ila mapenz yake kwa TL yanampofusha

1.Kwa Mujibu wa katiba ya Tanzania, itakuwa ni marufuku kutunga sheria inayoenda kinyume na matakwa ya Katiba ya JMT .. swali, Katiba ya JMT imeweka ukomo wa Ubunge viti maalumu?

2.Wabunge Special seats wakilalamika na wabunge majimboni wawaunge mkono wenzao itakuwaje?
Kwanini asisitize uchaguzi huru na haki kuanzia ngazi ya chama na rating zitoke majimboni/mkoani?

3.Kuna tatizo gani la kifedha CDM kutoka kwa CAG ambalo TL anataka kulitatua

4.Msimamo, nini kinamzuia kifanya hivyo sasa?

Harakati na siasa haziivi chumba kimoja, .. TL atakuwa kiongoz wa CDM wa muda mfupi sana kuwahi kutokea...

A seasonal politician
Una hoja nyepesi sana ila zinajibika :
NAKUJIBU HIVI :-

1) Kwanza sio kweli kuwa Katiba ya JMT inabana vyama vya siasa kujitungia sheria zake, Tofautisha Katiba ya Jamhuri na katiba ya Chama

2) Kambole amesisitiza hivyo kwasababu kwa CHADEMA asilimia kubwa ya Viongozi hata wajumbe wa kamati kuu ya chama wanachaguliwa na MWENYEKITI, yaani Mwenyekiti ni Muamuzi wa mwisho kupitia teuzi zake....Nashangaa CDM inavyomsema Rais Samia kuwa ana Overpower

3) Tatizo la Kifedha lipo na ni kubwa sana, Fedha za Ruzuku hazifiki mashinani. Zinaishia kwenye Uongozi wa juu na unalipa mishahara watu wachache TU, kwenye uongozi wa chini huku Mwenyekiti anapitisha Harambee wanachama wachangie jerojero na bukubuku au zaidi

4) Msimamo wa Mwenyekiti wa sasa FREEMAN AIKAEL MBOWE ni wa kigeugeu na hauna tija wala matokeo wanayoteegemea wanachadema, ana msimamo unaozingatia Maslahi yake zaidi

HARAKATI ni Muhimu zaidi kuliko SIASA, Wanaharakati wameleta mabadiliko duniani kuliko Wanasiasa

Nakusubiri,
 
Mawakili wana akili, na wanapigania haki lakini hawataki uchaguzi huru, wakati hiyo ndiyo njia ya kupata viongozi kwa haki.

Au kwanini hawawezi kuanzisha vyama vyao vya siasa tuone umahiri wao.
 
Ipo hivi,
Huyo jamaa ni wakili anaeheshimika, ila mapenz yake kwa TL yanampofusha

1.Kwa Mujibu wa katiba ya Tanzania, itakuwa ni marufuku kutunga sheria inayoenda kinyume na matakwa ya Katiba ya JMT .. swali, Katiba ya JMT imeweka ukomo wa Ubunge viti maalumu?

2.Wabunge Special seats wakilalamika na wabunge majimboni wawaunge mkono wenzao itakuwaje?
Kwanini asisitize uchaguzi huru na haki kuanzia ngazi ya chama na rating zitoke majimboni/mkoani?

3.Kuna tatizo gani la kifedha CDM kutoka kwa CAG ambalo TL anataka kulitatua

4.Msimamo, nini kinamzuia kifanya hivyo sasa?

Harakati na siasa haziivi chumba kimoja, .. TL atakuwa kiongoz wa CDM wa muda mfupi sana kuwahi kutokea...

A seasonal politician
Sawa mke wa mbowe
 
Ipo hivi,
Huyo jamaa ni wakili anaeheshimika, ila mapenz yake kwa TL yanampofusha

1.Kwa Mujibu wa katiba ya Tanzania, itakuwa ni marufuku kutunga sheria inayoenda kinyume na matakwa ya Katiba ya JMT .. swali, Katiba ya JMT imeweka ukomo wa Ubunge viti maalumu?
UUlipoambiwa kuweka ukomo wewe ukatafsiri baada ya hapo watachagua wanaume, au hawatopeleka kabisa. Utaratibu wa ukomo ni utaratibu ndani ya Chama husika ili kuhakikisha wanawake wengi zaidi wanajengewa uwezo na kuipata hiyo fursa. Utaratibu wa ukomo hauvunji Katiba. Labda unahitaji kufundishwa namna Katiba, Sheria na taratibu vinavyosomwa.
2.Wabunge Special seats wakilalamika na wabunge majimboni wawaunge mkono wenzao itakuwaje?
Hakuna kitu cha aina hiyo
Kwanini asisitize uchaguzi huru na haki kuanzia ngazi ya chama na rating zitoke majimboni/mkoani?
Ungeeleza huo uchaguzi huru na wa haki unao sisitizwa una shida gani ukiwepo?
3.Kuna tatizo gani la kifedha CDM kutoka kwa CAG ambalo TL anataka kulitatua
Ukisikia mfumo wa kifedha kwani ni mpaka CAG aona hilo tatizo? Huwa unajua CAG hukagua kitu gani? Ungelijua hilo usingeuliza hili swali. Kingine, hata kama wewe au jirani hamjawahi kuibiwa haimaanishi kwamba ukijenga usiweke milango au tahadhali za kulinda mali zako. Bado milango utawweka na pesa utapeleka bank
Harakati na siasa haziivi chumba kimoja, .. TL atakuwa kiongoz wa CDM wa muda mfupi sana kuwahi kutokea...
Hata unapoanza kusali, kusoma, kujitambua, kutetea kutafuta hela n.k hizo zote ni harakati. Sasa wewe sijui kwako sijui ulifundishwa na kudanganywaje? Harakati zinapofanikiwa hupelekea mabadiliko, au Mapinduzi.
Labda wewe utwambie lngo la siasa ni nini?.

atadumu kwa muda mfupi? Muda mfupi una shida gani? Kwani TL ndiyo anaenda kuanza siiasa? Au ana muda gani tangu ameanza? Huo muda mfupi wako umeupataje?
 
Kwann fedha itafutwe na mtu au familia? Ndiyo maana Lisu anasema iwekwe mifumo ya chama kupata fedha za kuendeshea shughuli zake. Mbowe amekuwa akitumia uchochoro huu kukikopesha na kukidai chama mabilioni ya fedha kila mwaka.

Pointi na 1 na 2, Jebra ni wakili, katiba ndiyo msahafu wake, hivyo huwezi kuwa unajua katiba kuliko yeye.


Aisee ni bora kabisa Chadema haikuingia madarakani kabla ya kuwajua vizuri . Huku chama cha Mbowe ni hatari sana kwa Taifa hili kama watabaki na mtu badala ya taasisi.

Chama kina wanachama zaidi ya mil. 6 halafu eti Mowe ndio anakiendesha kwa fedha zake na eti anapata hasara ? Ni ujuha kumsikiliza Huyo mhuni .Yaani anapata hasara na ni mzigo mkubwa lakini hataki kuacha hiyo hasara na kutua huo mzigo mzito.Kumwamini mtu kama huyo inahitaji kuwa mwendawazimu.

Ukiweka mfumo wa kiuongozi kwa wanachama mil.3 kwa Mwaka wachangie sh. elfu 5 tu achilia wale waliokua wanachanga kama wabunge n.k. Unakua na Tshs. Bil.15 kwa Mwaka mmoja . Achilia mbali miradi ya Chama . Sasa bil.15 ni za wana chama tu achilia mbali wafadhili na wadau wa Chama halafu Mwizi ,fisadi ,tapeli, muuaji, mhuni ,dikteta, muongo,mwizi Mbowe anasema haiwezekani mtu mwadilifu kuendesha chama . Chama chenye uadilifu kitazaa serikali ya watu waadilifu. Chini ya Mbowe kamwe Chadema halitaingia madarakani maana ule ni mradi wake wa kupiga hella za rushwa huku nje akijifanya ni mpambanaji.

Mbowe na Genge lake ni Wanafiki na waongo ,waovu na watu wasio na kiasi kwani wanataka katiba ya Warioba yenye mpaka ukomo wa wabunge wa kuchaguliwa majimbo ni na ukomo wa kila mtawala lakini wao hawataki sio tu ukomo wa viti maalumu lakini pia ukomo wa uongozi ndani ya chama . Halafu wanajiita chama cha kidemokrasia ,kinakua na demokrasia gani kama hakuna mfumo wa demokrasia ndani ya chama ?

Lisu anaongelea chama chenye mifumo ya kidemokrasia Mbowe anaongelea kejeli na kujisifia kuwa pesa zake ndizo chama na bila yeye Chadema inakufa . Pumbavu kabisa . Halafu anawajaza ujinga Machawa wake kama yule mwehu aliyesema eti Lisu hana uwezo wa kuwa Mwenyekiti ,alipoulizwa mbona mllipitisha kugombea urais ,kwa akili yake ya kinyumbu akajibu eti angakua RAIS chama kingemsilamia ? Yaani Hawa ndio mathink tank waliomzunguka Mbowe na wanaweza kumsimamia Rais wa nchi yenye katiba kama tuliyonayo ? Rais anayetaua wabunge kumi wa kweke ,Rais anayetaua mawaziri anavyotaka yeye, Rais anayetaua Governor wa benki kuu , Rais anayetaua katibu wa Bunge, Rais anayetaua majaji ,rais anayetaua mabalozi ,Rais anayemteua CDF ,Rais anayemteua IGP ,Rais anayemtaua mkuu wa usalama wa Taifa , Rais mwenye uwezo wa kutoa maelekezo ya kutrack simu za mtu yeyote muda wote ,Rais anayemteua DPP , rais anayeweza kuzuia shughuli zote za kisiasa ; eti huyo ndiye Wapumbavu wangeweza kutumia chama cha mtu binafsi kumdhibiti na kumuelekeza wanayotaka wao ,Rais mwenye ni mtu mwenye akili kubwa kama Tundu Antipas Lisu !!!😂😂😂😂😂
Huu uchaguzi umetuonyesha kumbe chadema kilikua limeshikiliwa na watu wenye akili finyu sana na ndio maana walikua wanafukuza fukuza fukuza wetu wenye akili kubwa kila wakati kwa gia ya usaliti..
Yesu Mwenyewe alijua kuwa Yuda atamsaliti lakini hakumfukuza .

Fukuza fukuza ya Mbowe ilikua ni ili abaki na mbumbumbu wa kumwabudu na kumlamba viatu . Maana kwa utaji wake tu ni heshima tosha ya kumpa magunia ya Machawa ,sembuse ni mmiliki wa chama ,lakini hayupo kabisa ndani ya mioyo ya hata hao Machawa ndio maana akitangaza maandamano hata chawa wake hawamuungi mkono wanamwacha adhalilike mwenyewe na familia yake !!😂😂😂 Halafu cha ajabu sana ,eti anaamini kuwa chawa wake Wanampenda kama familia yake 😂😂😂😂😂Huu nao ni ujuha wa mfalme Juha!!
 
Kwann fedha itafutwe na mtu au familia? Ndiyo maana Lisu anasema iwekwe mifumo ya chama kupata fedha za kuendeshea shughuli zake. Mbowe amekuwa akitumia uchochoro huu kukikopesha na kukidai chama mabilioni ya fedha kila mwaka.

Pointi na 1 na 2, Jebra ni wakili, katiba ndiyo msahafu wake, hivyo huwezi kuwa unajua katiba kuliko yeye.
Katiba imeweka ukomo wa rais iweje chagadema isiwe na ukomo wa mwenyekiti?
 
UUlipoambiwa kuweka ukomo wewe ukatafsiri baada ya hapo watachagua wanaume, au hawatopeleka kabisa. Utaratibu wa ukomo ni utaratibu ndani ya Chama husika ili kuhakikisha wanawake wengi zaidi wanajengewa uwezo na kuipata hiyo fursa. Utaratibu wa ukomo hauvunji Katiba. Labda unahitaji kufundishwa namna Katiba, Sheria na taratibu vinavyosomwa.

Hakuna kitu cha aina hiyo

Ungeeleza huo uchaguzi huru na wa haki unao sisitizwa una shida gani ukiwepo?

Ukisikia mfumo wa kifedha kwani ni mpaka CAG aona hilo tatizo? Huwa unajua CAG hukagua kitu gani? Ungelijua hilo usingeuliza hili swali. Kingine, hata kama wewe au jirani hamjawahi kuibiwa haimaanishi kwamba ukijenga usiweke milango au tahadhali za kulinda mali zako. Bado milango utawweka na pesa utapeleka bank

Hata unapoanza kusali, kusoma, kujitambua, kutetea kutafuts hela n.k hizo zot ni harakati. Sasa wewe sijui kwako sijui ulifundishwa na kudanganywaje? Harakati zinapofanikiwa hupelekea mabadiliko, au Mapinduzi.
Labda wewe utwambie lngo la siasa ni nini?.
Muda mfupi una shida gani? Kwani TL ndiyo anaenda kuanza siiasa? Au ana muda gani tangu ameanza? Huo muda mfupi wako umeupataje?


Genge la Mbowe lilikua linaitwa nyumbu ,sasa ndio nimeamini kuwa waliokuwa wamewapa jina hilo walikua na akili sana.

Lisu ameeleza mapungufu yaliyoko ndani ya chama kimfumo na amesema atakwenda kuyarekebisha ,lakini mbowe hajazungumzia kitu chochote kuhusiana na mfumo ambao kiuhalisia ndio unaosababisha chama kikubwa kama Chadema kuwa ni chama cha mfukoni mwa mtu . Miaka 32 kinashundwa kujitegemea eti mpaka kiingie madarakani ,sasa tunajiuliza kikiingia madarakani kitapataje pesa za kujiendesha wakati sasa kinashinda uchaguzi kwa zaidi ya asilimia 40 mpaka 45 ,kukaa madarakani pekee tangu lini ikawa ndiyo nguvu ya kujenga chama kimiundombinu kama sio kutumia fedha za umma kujinufaisha kisiasa jambo ambalo Magufuli alilikataa na kuunda tume ya kuchunguza mali za CCM ili chama kijitegemee .

Kwa hali hii Mbowe akishinda kwenye huu uchaguzi Wasomi wengi watakimbia Chadema kwa sababu watajua wazi kuwa hawatakiwi zaidi ya kutumiwa tu ili kujengea umaarufu wa mtu binafsi na chama chake binafsi.
 
Back
Top Bottom