Mkuu
Azarel ahsante kwa ufanlfanuzi, lakini natofautiana nawewe kwa mambo kadhaa..
Na itakuwa busara nikamtaja
brazaj kuwa amenielekeza hapa nikiwa sijasoma vizur ..
1. Suala la katiba ni hakika na litaleta mkanganyiko mkubwa sana kati ya katiba ya nchi na Chadema ikiwa itabadilishwa,
Lakini zaidi swali litakuja kwanini special seats, wabunge wa kawaida kwanini na wao wasiwe na kikomo, kwakuwa, mbunge wa jimbo akimuunga mkono mgombea mpya ni rahisi sana kufanya vizur, mfano kwa Chadema ni Philemon Ndesamburo na Dr. wilbroad Slaa... Kwa uchaguzi wa mwaka 2010, na 2015.
2. Kama kweli unaioenda CDM na unapenda mageuzi ni hatari sana kuwa na chama chenye mamluki ndani, kumbuka ni rahisi kwa Chama dola kusimika mapandikiz ndani ya chama kwa kutumia excuse ya Democracy... Tuwe makini sana, nchi yetu ili adopt style ya China katika kuendesha siasa zake hasa CCM
3. Naomba nikukabidhi wewe suala la 107M kwa mwez uzisambaze kwenye majimbo, wilaya na Kanda na ulipe mishahara na bills za makao makuu... At least kwa hiyo income inayoonekana hapo..
4.Msimamo Kigeu geu, nadhan ulikuwepo kipindi cha Magufuli na madhila waliyopitia wapinzani,
Msimamo wangu..
Ashinde TL au FAM ni kwa manufaa ya CDM wote wana faida na mapungufu yao.... Tuwe na busara, ukweli na kiasi..
Mambo sio rahisi kias hicho