The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Kuna 50 hapaAfu amsini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna 50 hapaAfu amsini
🤣🤣 Una matatizo sio bureKumbe nakosea sana, mi natoa 7000 kwenye ten
zingatia hapoKmmk 🤣
zingatia sana hizo asilimia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mbususu unapata hata kwa buku mbili hiyo mill 13 aliyopewa kubwa sanaEti mbususu amekupeana 🤣🤣🤣🤣
Wapi huko mbususu buku mbili mnioneshe na miembususu unapata hata kwa buku mbili hiyo mill 13 aliyopewa kubwa sana
Aisee uchukuliwe hatua za nidhamu, unafanyaje kosa kubwa namna hiyo?Kumbe nakosea sana, mi natoa 7000 kwenye ten
kwani uko wapi?Wapi huko mbususu buku mbili mnioneshe na mie
Hapa mbekenyera mkuukwani uko wapi?
Yeah sure thing.. wanawake wengi ni wabinafsi wanaamini mafanikio ya mwanaume ni ya kwao Ila mafanikio yao ni ya kwao peke yaozingatia hapo
huko zitakuwa hazipatikani za sado ya ulanzi kweli?Hapa mbekenyera mkuu
Wafanyakazi wa oya tunaingiaje apo kaka daaahNi 2% ya pesa zako zote kama una mshahara wa 1 million kwa mwezi unatakiwa kuhonga elfu 20 tu..sasa kama wewe ni mfanyakazi wa oya na mshahara wa laki 300,000 we onga mwisho elufuu sita tooop!!
Sirudii nimekomaAisee uchukuliwe hatua za nidhamu, unafanyaje kosa kubwa namna hiyo?
Wazazi na Ndugu zake wanayoUko na namba ake?!
Na fans wake twaitaka...Wazazi na Ndugu zake wanayo
Nasibu una roho mbaya, ukawa unamfowardia sms zake,Niliwahi kuwa na demu akiamini tako litanitia wazimu. Nilikuta ana dhiki balaa kuna wakati hata ya kula anakosa. nikawa namtoa hela ndogo ndogo tu, ikizidi sana 50k. Baada ya kuzoea akanichana eti sijawahi kumsaidia kikubwa zaidi ya hela ndogo ndogo. Uzuri nilishamfaidi, ikawa simple kumkaushia.
Baada ya wiki analia ameshinda njaa. Nikaishia kumtumia sms zake za "pesa ndogo ndogo".
Ngoja tuongee na wazazi wake pamoja na ndugu zakeNa fans wake twaitaka...
Ana studio. Uko wapi?Kwahiyo sahivi kabakiza milioni ngapi? Afu yuko wapi kwani....