Akopea nyumba ya jirani Milioni 200 kwa Hati Feki. Malalamiko yalifika hadi Ikulu danadana nyingi

Kuna mama anaitwa Zaidia Ijango ana taaasisi yake fake ya kulea watoto yatima maeneo ya sinza madukani nae amefoji documents anataka kudhulumu.nyumba aliyopanga kwa mdu mrefu
 
huyu anafatilia mal za babu yake? hivi sheria inawatambua wajukuu kwenye mirathi ?
 
Kama amekopea nyumba ya jirani kwa hati feki tatizo ni la benki waliomkopesha na sio mwenye nyumba as long as ana hati halali. Unless kuna vitu havisemwi lakini benki ni taasisi kubwa na wanafanya due diligence ya uhalali wa nyaraka kabla hawajatoa mkopo kwa mhusika.​
 
Kwa zama hizi huwezi kutengeneza hati mbili kwenye kiwanja kimoja. Database inakataa kutoa hati ya pili.

Jamaa alifanya zama za zamani zamani kabla ya hati zote kuingizwa kwenye system
Naomba kukuuliza iwapo wazazi wamefariki bila kuelekezwa hati miliki kwahiyo haijulikani ilipo
Je inawezekana nyumba kukatiwa hati upya inachukua muda gani na inagharimu kiasi na utaratb ukoje
 
Naomba kukuuliza iwapo wazazi wamefariki bila kuelekezwa hati miliki kwahiyo haijulikani ilipo
Je inawezekana nyumba kukatiwa hati upya inachukua muda gani na inagharimu kiasi na utaratb ukoje
Una uhakika hiyo nyumba inasoma majina yao!? Jiridhishe kwanza alafu mambo mengine ndiyo yaendelee!!
 
Daa inauma sanàa...pole familia wame take asvantage ya umasikini wa huyo dogo.....
 
Hapo kuna harufu ya rushwa ,benki hawawezi pokea hati feki. bank huwa zinafanya morgage ambazo zinasajiriwa ardhi .

waende mahakamani
 
Una uhakika hiyo nyumba inasoma majina yao!? Jiridhishe kwanza alafu mambo mengine ndiyo yaendelee!!
Nitajiridhisha wapi Sasa na ndo wamefariki tayari Ila Nina uhakika tu kua nyumba ni yao Ila hiyo hati ndo haionekani
 
Nitajiridhisha wapi Sasa na ndo wamefariki tayari Ila Nina uhakika tu kua nyumba ni yao Ila hiyo hati ndo haionekani
Chukua no ya kiwanja nenda Aridhi watakwambia inasoma nani!!
 
Chukua no ya kiwanja nenda Aridhi watakwambia inasoma nani!!
Unaweza kunipa namba yako?
Swala ni kwamba Sina detail yoyote wazazi wamefariki ghafla hatukuzungumza chochote sababu haikutarajiwa.....nachofaham ni namba ya nyumba tu nisaidie tafadhal nijue pa kuanzia
 
Naomba kukuuliza iwapo wazazi wamefariki bila kuelekezwa hati miliki kwahiyo haijulikani ilipo
Je inawezekana nyumba kukatiwa hati upya inachukua muda gani na inagharimu kiasi na utaratb ukoje

taratibu za mirathi lazima zifanyike.

kisha msimamizi wa mirathi aende wizara ya ardhi atapewa utaratibu wa kupata hati mpya
 
Unaweza kunipa namba yako?
Swala ni kwamba Sina detail yoyote wazazi wamefariki ghafla hatukuzungumza chochote sababu haikutarajiwa.....nachofaham ni namba ya nyumba tu nisaidie tafadhal nijue pa kuanzia

wauulize jirani zako namba ya viwanja vyao.

ukitazama hati za jirani zako, utaona site plan inaonesha namba ya kiwanja chenu
 
wauulize jirani zako namba ya viwanja vyao.

ukitazama hati za jirani zako, utaona site plan inaonesha namba ya kiwanja chenu
Oh nashkuru sana, kwahiyo unamaanisha kwenye hati za jirani yangu naweza kupata namba ya kiwanja chetu
 
taratibu za mirathi lazima zifanyike.

kisha msimamizi wa mirathi aende wizara ya ardhi atapewa utaratibu wa kupata hati mpya
Sawa nimeelewa kua mambo ni mawili ya lazima 1.taratibu zairathi
2.wilayani kitengo Cha ardhi
Naomba kuuliza swali la mwisho,
Je,unaposema taratibu za mirathi ni kama zipi na wahusika/zinawahusisha nani na
nani ni lazima wahusike kuzikamilisha

Kwa maana ya kwamba kabla ya kifo Cha mama kulikua na kikao na mrithi na msimamizi akachaguliwa....Ila maandishi na kila taarifa ndo kaondoka nayo mzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…