Akumbukwe Diego Maradona. Mwanzilishi wa kujichukulia sheria Mkononi. Mahusiano yanatesa sana

Akumbukwe Diego Maradona. Mwanzilishi wa kujichukulia sheria Mkononi. Mahusiano yanatesa sana

Unajichua na unaona ni hali ya kawaida? Lakini sishangai maana na mimi nilikua hivo hadi pale Mungu kwa Neema yake peke yake aliponifungua. Kabla ya hapo nilijaribu sana kujitoa lakini wapi, Ila wakati wa Mungu ukawa ni bora sana na sahihi. Madhara ya punyeto ni mengi na kwa wapigaji tutakubaliana labda upinge tu. Baadhi ni kama:

1. Punyeto inakutoa uweponi mwa Bwana na kua kiumbe cha ulimwengu wa Giza.

2. Punyeto inakukosesha nguvu za rohoni na mwilini.

3. Punyeto inakufanya kukosa kibali na mamlaka na fursa mbalimbali. Kwa sababu huna NURU ila una UKUNGU

4. Punyeto inakufanya kukosa akili, maarifa, na Busara. Ila unakua mpumbavu.

Mwisho vijana tuacheni Punyeto. Omba sana Mungu akufungue ufahamu wako.
 
1. Punyeto inakutoa uweponi mwa Bwana na kua kiumbe cha ulimwengu wa Giza.

2. Punyeto inakukosesha nguvu za rohoni na mwilini.

3. Punyeto inakufanya kukosa kibali na mamlaka na fursa mbalimbali. Kwa sababu huna NURU ila una UKUNGU

4. Punyeto inakufanya kukosa akili, maarifa, na Busara. Ila unakua mpumbavu.
MUONGO MUONGO MUONGO
 
Wanaume wengi miaka hii wameamua kuwa tu wanajichukulia sheria mkononi. Wanafunga goal la mkono. Unakumbuka mwaka 1984 kama sikosei.. unakumbuka?

Diego Armandos Maradonna alipiga bao la Mkono na kuchukua ushindi kwa team yake ya Argentina. Bao la Mkono unapata ushindi mzuri tu. Unachukua Ubingwa. Wakati wengine wakivuliwa Ubingwa.

Ukiwa unajichukulia sheria unakuwa na demu yoyote umtakaye duniani. Bila gharama hata kidogo. Tena ni salama hupigwi mizinga n.k ila kumbuka too much is harmful.

Vijana kwa sasa wengi wanakwambia tunacheza kama maradonna tu na maisha yanaenda bila kuwa na kasi kubwa sana. Kwenu wazee wa kujichukulia sheria mkononi.
Sawa sawa. Ironbutterfly
 
Back
Top Bottom