Yaan we majibu yako sikuhizi hutumii nguvu Kabisa π₯΄βπ½Madhara chanya ni kushiba na kufurahi.
Madhara hasi ni kufurahia kukaa toilet muda mrefu huku ukifurahia kutoa kinyesi laini chenye afya kutokana na kula kitimotoMadhara chanya ni kushiba na kufurahi.
π€£π€£π€£ππΏTena kipindi hiki cha Ramadhani na leo Ijumaa kabla ya kufuturu tunashauriwa kula kitimoto rost kilo mbili na ndizi sasa utaamua mwnyw kuchagua aina ya kinywaji.
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
Alisisitiza Prof. Janabiπ€£π€£π€£ππΏ
Ila iliyopikwaItoshe kusema hii nyama imebarikiwa kuliko nyama zote..... (Nyama za wanyama na ndege tu)
π€£π€£π€£ sawasawa mkuuAlisisitiza Prof. Janabi
Madhara hasi je?!!Madhara chanya ni kushiba na kufurahi.
Apikwe, achomwe, akaangwe.....hana baya kitimotoIla iliyopikwa
Mbuzi wa Vatican City huyo hakwepeki bro. Cha muhimu tu kama ni mtumiaji mzuri basi jenga tabia ya kuwa unakunywa dawa nzuri za minyoo na za kuendeshea kila baada ya miezi mitatu...Analiwa vatican wewe mmatumbi unakuwa na wasiwasi wa nini?
πππππ