Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kuna ya kitu kingine mbichi ni tamu balaaApikwe, achomwe, akaangwe.....hana baya kitimito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ya kitu kingine mbichi ni tamu balaaApikwe, achomwe, akaangwe.....hana baya kitimito
Skku zote haramu huwa tamu sanaItoshe kusema hii nyama imebarikiwa kuliko nyama zote..... (Nyama za wanyama na ndege tu)
Mdogo angu ndio maana nikasema ya nyama na ndege tu, elewa neno nyama ya nyama na ndege 😁🫢Kuna ya kitu kingine mbichi ni tamu balaa
NakataaaNyama ya nguruwe haina tofaut na nyama nyingine yoyote ile, ni bas tu mindset za watu zimakarir hivyo ndio maana.
😂😂😂 Hii ni wapi aisee??Mbuzi wa Vatican City huyo hakwepeki. Cha muhimu tu kama ni mtumiaji mzuri basi jenga tabia ya kunywa dawa nzuri ya minyoo kila baada ya miezi mitatu...
View attachment 2935483
Kwasababu gani chief..Umepikiwa vizur kabisa kitaalamu??Nakataaa
Kitimito ni mtamu bana ni mtamuu mno, yani umle na ndizi mbili na biaKwasababu gani chief..Umepikiwa vizur kabisa kitaalamu??
zingatia,Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!View attachment 2935476
“Ambayo haikupikwa” SIJUI UNAELEWA NA UDINI WAKOMadhara chanya ni kushiba na kufurahi.
Ukiangalia kwenye takwimu hawa macho madogo wanaongoza kwa life expectancy, Hong Kong, Japan, Korea n.k na wanakula kitimoto sana.Kwani Prof Janabi anasemaje ? Pork kwa afya yako....mwezi huu kumepwayaaaa
Ahahahahahahah.Kitimito ni mtamu bana ni mtamuu mno, yani umle na ndizi mbili na bia
Bunju pia ukimkosea umekwishaasUkiangalia kwenye takwimu hawa macho madogo wanaongoza kwa life expectancy, Hong Kong, Japan, Korea n.k na wanakula kitimoto sana.
Japan kuna samaki anaitwa puffer fish, wanapenda kumla ila ukikosea kumuandaa ni very poisonous, kumuandaa tu inabidi uwe certified.
Jamaa wanakula vitu vya ajabu sana.
Ila bangi sio haramu?😃Nguruwe ni haram !