Akutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe

Akutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe

Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Kosa lake aliacha kula nyama ya nguruwe badala yake akala nguruwe.
 
Mkuu unaweza kutoa jina la dawa nzuri?
Jina sina namhala. Mimi huwa nakwenda kwenye pharmacy tu na kuulizia dawa za minyoo; na huwa nawaambia kuwa mi ni mla kitimoto. Kuna za kuanzia elfu tatu mpaka za 15K nadhani. Huwa nanunua moja hivi ya kunywa mara moja tu inauzwa kama 6K-8K nakaa siku moja hivi au mbili ndiyo nakunywa dawa za kusafisha tumbo.

Kama hutaki kutumia dawa kwenye kusafisha tumbo unaweza kutengeneza juisi ya ukwaju ukatiamo kijiko cha kawaida cha pink/Himalayan salt (kama huna presha ya kupanda) na kipande cha limao. Kunywa kama glass mbili hivi halafu subiri kama saa moja hivi usikilizie muziki wake.

Baada ya hapo endelea kupiga kitimoto chako bila wasiwasi. Baada ya miezi mitatu unarudia tena zoezi.
 
Huyo ana magonjwa yake mengine,kitimoto asisingiziwe
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Msitutisheee
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Mbona ngono hamuachi lakin madhara yake ni very popular kuliko kula nguruwe
 
Back
Top Bottom