Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyama ya nguruwe haina madhara na ni kiboko ya Mujahidinna, sema waandishi wengi wa BBC ni Asalaam Alekyum.Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!View attachment 2935476
Toka tarehe 11 mwezi huu, hii nyama huku kwetu imeshuka bei sijui kwanini?Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!View attachment 2935476
Wapi?.Toka tarehe 11 mwezi huu, hii nyama huku kwetu imeshuka bei sijui kwanini?
😁😁, nilileta thread kama hii jana, mods wakalala nayo Mapema sana.Toka tarehe 11 mwezi huu, hii nyama huku kwetu imeshuka bei sijui kwanini?
Unataka uje utafune mdudu bro?Wapi?.
Mods hawana maana 🤣🤣😁😁, nilileta thread kama hii jana, mods wakalala nayo Mapema sana.
[emoji28][emoji28]Kitimito ni mtamu bana ni mtamuu mno, yani umle na ndizi mbili na bia
Nipe location mkuu.Unataka uje utafune mdudu bro?
[emoji16]View attachment 2935488
Nyama ya pua ni tamu balaaa!!
Hawa jamaa hawafahi kabisa 😬😬. mshamba_hachekwi ndo alipigilia msumari, mods nao wakajazwa kichwa wakafuta 😀😀.Mods hawana maana 🤣🤣
Wakumbushe wasile wakashiba saaana, hayo ndo maagizo ya Quran "TUKUFU"Tena kipindi hiki cha Ramadhani na leo Ijumaa kabla ya kufuturu tunashauriwa kula kitimoto rost kilo mbili na ndizi sasa utaamua mwnyw kuchagua aina ya kinywaji.
Source: Prof. Janabi
Mkuu unaweza kutoa jina la dawa nzuri?Mbuzi wa Vatican City huyo hakwepeki bro. Cha muhimu tu kama ni mtumiaji mzuri basi jenga tabia ya kuwa unakunywa dawa nzuri za minyoo na za kuendeshea kila baada ya miezi mitatu...
View attachment 2935483
Titakula tu.Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---
Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.
Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.
Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.
Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.
BBC Swahili
Watakuambia ya wamarekani waachiwe wamarekaniNajua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---
Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.
Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.
Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.
Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.
BBC Swahili