Akutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe

Akutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe

Tafadhali hatuli nguruwe tunakula kitimoto nusu na ndizi mbili inashushwa na bia ya baridiiiii
 
Karibu nafikiri hapa
JamiiForums-1850022425.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
ALikula mbichi au.....!!MAANA INAWEZEKANA VIPI CHAKULA KIPITE KTK MOTO WA 100% kisha hao minyoo waendelee kuishi...!!
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Titakula tu.
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Watakuambia ya wamarekani waachiwe wamarekani
Kama marekani na maendeleo yote yale wamefikia hapo vipi vichwa vyetu Tz!!
Usikute ndiyo hayo maamuzi ya hovyo ya viongozi wetu chanzo ni hicho
 
Back
Top Bottom