OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Unabishana na takwimu?Weye acha hzoo na MAMELODI JEE..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabishana na takwimu?Weye acha hzoo na MAMELODI JEE..??
Wa kwanza anakipiga na wa pili. Simba atakutana na wale wa Algeria walioshika nafasi ya pili kundi la Mamelod. Wanaitwa Belouzdad kama sikosei. Na aliyeshika nafasi ya Kwanza anaanzia ugenini.Hivi Utaratibu wa robo fainali ni kuchezeshwa droo au wa kwanza kwenye grup anakipiga na wapili grup linalofuata?
Droo itachezeshwa.Hao waliompiga mamelod home ndio tunakutana nao? Au kuna draw itachezeshwa?
Simba GF- 9. GA-2Simba iko juu ina goal difference nzuri so far kuliko timu yoyoye
Mamelody karuhusu goli nyingi mno japokua kamzidi simba goli mojaAcha uongo ni Mamelods .........
Mbona yanga hapo siioni wakati ni ya kimataifa?
Weye acha hzoo na MAMELODI JEE..??
kuna droo itachezeshwa. winners watapambanishwa na runners ila waliokuwa group 1 hawatakutanaHivi Utaratibu wa robo fainali ni kuchezeshwa droo au wa kwanza kwenye grup anakipiga na wapili grup linalofuata?
Au wanataka ile siku tunayochukua hili kombe ndio siku hiyo hiyo watukabidhi?Wasilete uhuni🤣🤣🤣🤣
Hivi unadefend nini wakati umeshafuzu? Ni akili za kawaida hizi kweli?Kocha amezingua kucheza defense kipindi cha kwanza na kachelewa pia kuongeza mshambuliaji wa kusaidiana na Kagere
Au wanataka ile siku tunayochukua hili kombe ndio siku hiyo hiyo watukabidhi?
Kwani alicheza na groups zote?Hivi mnajua kama Simba ndio kinara wa groups zoteee?
Mbona yanga hapo siioni wakati ni ya kimataifa?
Hii list ni feki
Ile rangi inawatosha ni juzi tu hapo tumewapa mtonyo kufanya service tukawashauri msipake marangi ya kijani maana kunguru watajua ni mbuyu wakatubishiaWatupe advance kabisa tunataka tuwape ndugu zetu wapake rangi pale jangwani🤣
hata ukijumlisha na zile 8 za shirikisho simba imefanya vizuri overrallSimba GF- 9. GA-2
Mamelods GF-10. GA-4
Kwa uhalisia simba imefanya kazi nzuri hatua ya makundi BigUp💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwani walivyosema tyson nj bondia wa ulimwengu ulitaka aje mang'ula ampige hadi baba yako?Kwani alicheza na groups zote?