Al Ahly 1-0 Simba | CAFCL | Al Salam Stadium

Al Ahly 1-0 Simba | CAFCL | Al Salam Stadium

Kwa hiyo mwaka jana walivyosema mwanafunzi kutoka mbeya kaongoza kitaifa kidato cha nne walikosea ilitakiwa waseme ameongoza darasa lake kwasababu hizo shule zingine hakusoma?
Kwani wanafunzi huwa wanafanya one on one competition na kila mwanafunzi? Au wanafanya mtihani wa jumla collectively kwa ngazi husika ya elimu at a go? Na hivyo uongozi unakuwa collective kwa ngazi husika ya elimu
 
Kwani wanafunzi huwa wanafanya one on one competion na kila mwanafunzi? Au wanafanya mtihani wa jumla collectively kwa ngazi husika ya elimu? Na hivyo uongozi unakuwa collective kwa ngazi husika ya elimu
Kwani ligi hii imefanya competition wapi ya timu moja kucheza na kila timu kwenye kila group?

Basi na huku ndivyo ilivyo kua competition haina maana umchallenge kila mtu ili uonekane bora
 
Kwani ligi hii imefanya competition wapi ya timu moja kucheza na kila timu kwenye kila group?

Basi na huku ndivyo ilivyo kua competition haina maana umchallenge kila mtu ili uonekane bora
Wamefanya one on one competion na kila timu iliyo kwenye group lake, na ndio maana uongozi ni wa kwenye kundi lake, wanafunzi wanafanya collective exam, kama ni kwa nchi mzima au kanda, uongozi unakuwa wa nchi mzima au kanda
 
Leo hamuoni umuhimu wake lakini kipindi cha nyuma ndo alikua anacheza, tujifunze kuthamini mchango wa mtu
Mchezaji anaweza kuwa kwenye ubora na akaachwa na timu sikwambii kwa Mkude ambae kiwango chake sio cha kucheza kimataifa kwa Simba ya sasa.

Wachezaji wa kuachwa na Simba wa kwanza ni Dilunga akifuatiwa na Mkude. Lwanga,Kahata,Muzamiru,Nyoni wanamudu vema kucheza nafasi ya Mkude.

Miqson huyu tegemezi kwa Simba ya sasa alitolewa kwa mkopo kwa UD Songo kutoka Mamelody. Sio mbaya Mkude akienda kutafuta changamoto timu nyingine kama alivyotolewa mkopo Miqson kwa UD Songo kisha Simba ikamchukua.
 
Leo ndio leo!
Wanaume wa shoka wanakutana kutafuta Nani mbabe!...
Ahsante ,mod niliahidi kuleta updates nikasahau kabisa kuwa nilianzisha Uzi😂😂Dakika zote 90 ....midadi ilikuwa juu!
Ila tuwe wa kweli Simba imeoiga hatua!
Mpira ni pesa!
 
Hii ni nyingi sana kumbuka robo tunapewa US$650,000
Hapana,sio hivyo. Anayeendelea na michuano hapewi hadi atakapojikwaa na kuanguka ndio atakapopewa. Yaani kila stage unayoruka pesa yako inaongezeka....mf robo dola 650,000/= nusu fainali labda $980,000 fainali $5,000,000/= .Kila hatua unayooenda mbele ndo unasogelea donge nono.
 
Wamefanya one on one competion na kila timu iliyo kwenye group lake, na ndio maana uongozi ni wa kwenye kundi lake, wanafunzi wanafanya collective exam, kama ni kwa nchi mzima au kanda, uongozi unakuwa wa nchi mzima au kanda

We jamaa mgumu sana kuelewa
Iv ulaya wanapotoa kiatu cha dhahabu kwa mchezaji mmoja mwenye magoli mengi katika ligi bora ulaya huwa amecheza ligi zote?
Mf mwisho wa msimu huu katika ligi tano bora ulaya Lewandosk atakuwa na magoli mengi na atapewa kiatu cha dhahabu kwan amecheza epl? Au laliga?
Tuliza mshono uelewe jamaa anachokwelekeza na badae uende kwenye page ya Caf utakuta wamepost huo msimamo utakaoonesha Simba akiwa anaongoza makundi yote manne
 
Vyura
FB_IMG_1618027504361.jpg
 
Kwani wanafunzi huwa wanafanya one on one competition na kila mwanafunzi? Au wanafanya mtihani wa jumla collectively kwa ngazi husika ya elimu at a go? Na hivyo uongozi unakuwa collective kwa ngazi husika ya elimu

Sasa mbona CAF huwa wanatoa msimamo wa wote baada ya mechi zote kuchezwa, unajaribu kubisha kitu ambacho hakifai hata kubishaniwa.
 
Sasa mbona CAF huwa wanatoa msimamo wa wote baada ya mechi zote kuchezwa, unajaribu kubisha kitu ambacho hakifai hata kubishaniwa.
Ni kawaida ya mashabiki wa timu mbovu kuchambua na kuponda wenye timu bora.
 
Back
Top Bottom