Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Halafu yale maandamano yao ya amani yaliishia wapi?Wako busy na kuwasomea Waandishi Albadry. Ila Mashabiki wa Yanga wanachekesha sana[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu yale maandamano yao ya amani yaliishia wapi?Wako busy na kuwasomea Waandishi Albadry. Ila Mashabiki wa Yanga wanachekesha sana[emoji3]
Hivi unadefend nini wakati umeshafuzu? Ni akili za kawaida hizi kweli?
Sawa braza, ila leo ni cha mbwa koko!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Yanga wanakarabati chumba kimoja million 6🤣🤣Ile rangi inawatosha ni juzi tu hapo tumewapa mtonyo kufanya service tukawashauri msipake marangi ya kijani maana kunguru watajua ni mbuyu wakatubishia
Now kunguru wamenyea mpaka rangi imepauka halafu mwakalebela ndio mbishi hashauriki labda saizi kwasabu kala pin
Baba yangu ni bondia katika ngazi husika ya ubondia?Kwani walivyosema tyson nj bondia wa ulimwengu ulitaka aje mang'ula ampige hadi baba yako?
Juzi kocha wao wazamani aliyewaita manyani alishangazwa akasema mpaka sasa haelewi yanga wanataka niniYanga wanakarabati chumba kimoja million 6🤣🤣
Mkuu watakusomea al badil kama huyo MALCOM LUMUMBA......kila comment lazima areact na haka ka emoji😡Juzi kocha wao wazamani aliyewaita manyani alishangazwa akasema mpaka sasa haelewi yanga wanataka nini
Mimi nilifukuzwa kwasababu timu ilikuwa inafungwa hovyo, wamepata kovha mwingine ambaye kawafanya waongoze ligi bila kufungwa lakini game ya mwisho walivyifungwa tu wakatimua benchi zima
Sasa yanga wanataka nini?
Ndo nacho kimaanisha hapaBaba yangu ni bondia katika ngazi husika ya ubondia?
Nani kasema klabu zote? Nimesema klabu zilizopo katika makundi ya hatua husika, au naongea kiChina?Ndo nacho kimaanisha hapa
Kwamba hata hizo club zinazohesabiwa kuwa ni bora kidunia sio lazima zicheze na club zoote na zishinde ili zihesabiwe kua ni bora ulimwenguni kote
Huyo lumumba ni utopololianMkuu watakusomea al badil kama huyo MALCOM LUMUMBA......kila comment lazima areact na haka ka emoji😡
Nimekuelewa na ndio maana nimekujibu hivyo nikimaanisha kua sio lazima simba icheze na hizo timu zoote kwenye hayo magroup ili ihesabike bingwaNani kasema klabu zote? Nimesema klabu zilizopo katika makundi ya hatua husika, au naongea kiChina?
Ni lazima, maana zipo katika ngazi husika anayohusishwa kuongoza simba, huwezi kuongoza timu ambayo hujacheza nayo hata mara moja, na mpo katika michuano hiyo hiyo na katika hatua hiyo hiyo. Simba kaongoza kundi lake tu, makundi mengine yana viongozi wake.Nimekuelewa na ndio maana nimekujibu hivyo nikimaanisha kua sio lazima simba icheze na hizo timu zoote kwenye hayo magroup ili ihesabike bingwa
Hivi mshindi wa fainali, anavuta kiasi gani?Au wanataka ile siku tunayochukua hili kombe ndio siku hiyo hiyo watukabidhi?
Kwa hiyo mwaka jana walivyosema mwanafunzi kutoka mbeya kaongoza kitaifa kidato cha nne walikosea ilitakiwa waseme ameongoza darasa lake kwasababu hizo shule zingine hakusoma?Ni lazima, maana zipo katika ngazi husika anayohusishwa kuongoza simba, huwezi kuongoza timu ambayo hujacheza nayo hata mara moja, na mpo katika michuano hiyo hiyo na katika hatua hiyo hiyo. Simba kaongoza kundi lake tu.
Duuh..! Ni mbali kweli, naomba Mungu aendelee kuniweka.Simba sc tuko njema wanasimba tusiwe na shaka tusubiri tarehe 30 april
US $2.5M
We jamaa dah 😂😂😂😂Kwani walivyosema tyson nj bondia wa ulimwengu ulitaka aje mang'ula ampige hadi baba yako?