Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumpe heshima yake MkudeMchezaji anaweza kuwa kwenye ubora na akaachwa na timu sikwambii kwa Mkude ambae kiwango chake sio cha kucheza kimataifa kwa Simba ya sasa.
Wachezaji wa kuachwa na Simba wa kwanza ni Dilunga akifuatiwa na Mkude...
Kwamba Bayern Munich sio bingwa wa ulaya sababu ajacheza na everton n.kNi lazima, maana zipo katika ngazi husika anayohusishwa kuongoza simba, huwezi kuongoza timu ambayo hujacheza nayo hata mara moja, na mpo katika michuano hiyo hiyo na katika hatua hiyo hiyo. Simba kaongoza kundi lake tu, makundi mengine yana viongozi wake.
Taratibu, nifahamishe kwanza nijue, everton alishiriki katika ligi ya klabu bingwa ulaya iliyompa huyu Munich ubingwa? Ukisoma ulichoquote utaona nimeandika “...michuano hiyo hiyo na katika hatua hiyo hiyo....”Kwamba Bayern Munich sio bingwa wa ulaya sababu ajacheza na everton n.k
Kwamba Bayern Munich sio bingwa wa vilabu duniani sababu ajacheza na simba anaitwaje bingwa wa vilabu duniani?...
We jamaa akili za wap hizo ili haliwezekan katika hii ligi huwez cheza na Tim zote na Uta kuwa bingwaNimekuelewa na ndio maana nimekujibu hivyo nikimaanisha kua sio lazima simba icheze na hizo timu zoote kwenye hayo magroup ili ihesabike bingwa
Mapengo hasa matatu! Lwanga, Morrison na Mugalu!Pengo la Lwanga lipo wazi.. Nyoni na Mkude bure kabisa
Mugalu ana mchango mkubwa kwenye kutengeneza nafasi, kumiliki mpira wakati wengine wakitafuta nafasi na kwenye kuutafuta mpira kama wanao adui!Mugalu yule tuliye mkataa wote kwenye mechi ya As vita au kuna mwingine?
Utabiri wangu Simba na All Ahyl zitakutana tena fainali.Dua kubwa ya muarabu saizi ni kuomba kutokutana na simba robo
Itachezeshwa drop tena.Hivi Utaratibu wa robo fainali ni kuchezeshwa droo au wa kwanza kwenye grup anakipiga na wa pili grup linalofuata?
Mamelods baada ya kupigwa goli 2 goal difference yao in 6. Kwa sasa goal difference ya Simba ni 7. Kwa hiyo Simba iko juu ya timu zote tunapoelekea robo fainali.Acha uongo ni Mamelods .........
Subiri baada ya mechi za Leo caf wataweka mkeka Wa timu zote na Simba itakuwa pale juu Kabisa!Ni lazima, maana zipo katika ngazi husika anayohusishwa kuongoza simba, huwezi kuongoza timu ambayo hujacheza nayo hata mara moja, na mpo katika michuano hiyo hiyo na katika hatua hiyo hiyo. Simba kaongoza kundi lake tu, makundi mengine yana viongozi wake.
Ruaha kamanda hahahahaHahahahaha, wewe lazima utakuwa ulikuwa unachezea Sengo, Ruaha au Lipuli !!!
Leo mtasingizia vyote na maji lazima myaite mma 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Duuuh, noma sana kamanda!Ruaha kamanda hahahaha
Mkuu hiyo timu iliyoifunga Mamelods 2 -0 inanipa Presha ,vipi ikikutana na Simba hebu elezea kidogo.Mamelods baada ya kupigwa goli 2 goal difference yao in 6. Kwa sasa goal difference ya Simba ni 7. Kwa hiyo Simba iko juu ya timu zote tunapoelekea robo fainali.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kenge wewee 😂😂😂