Al Ahly 2-2 AS Vita | CAFCL

Al Ahly 2-2 AS Vita | CAFCL

Simba msijifariji wenzenu Al ahly washachezea mkuyenge wa As vita, jiandaeni kunyolewa Dar, mechi mliyobakia nayo kushinda ni ya El Merekh kwa Mkapa
 
GOOOAAL! Lilepoo AS VITA CLUB!

Dakika 40'

Al Ahly SC 0 - 1 AS Vita Club

Naona Hapa Lilepo wa AS Vita Club kwa shuki kali kabisa kipa wa Al Ahly anautema Lilepoo anautokea tena kuumalizia kabisa, anawaduwaza Al Ahly kwa goal safi kabisa toka upande wa kulia nje kidogo ya box
Timu nyingine ya Congo siyo Congo Brazaville, TP Mazembe Englebert timu maarufu ya DR Congo leo walipoteza 2-1 kwa Mamelodi Sundowns ya South Afrika.
 
ZAMALEK nashangaa wao mpaka dakika hii BADO hawajatimua kocha
Hawa wababe wa Africa ni lazima watashuka mpaka chini kisha waanze upya kupanda.
Shughuli nyingi za wababe zinaaribikia nyumbani.
Vita kapigwa na Simba akiwa home.
Mazembe kapigwa na Mamelody akiwa home.
Al Ahly nae hii mechi asiporudisha goli basi anakufa home, Mbuyu huu unaangushwa masikini.
 
Dakika 45'

Al Ahly SC 0 - 1 AS Vita Club

Helwaa kurupushani za juhudi za Al Ahly mpaka sasa zimeshindwa kufumania nyavu za AS Vita

Timu zinakwenda mapumbizo na super kocha Flores Ebenge wa AS Vita na wachezaji wake wanakwenda vyumbani wakiwa kifua mbele.

Wachezaji wa Ahly nao wanaenda mapumziko huku baadhi yao wakibusu pitch ya wanja hili la Cairo International stadium kutoa shukrani kwa Munyazi Mungu, baada ya kukoswa kufungwa bao lingine dakika hii ya 45' wakati Muyamba wa AS Vita akiwa uso kwa uso na kapteni wa Al Alhy golikipa Mohamed El-Shenawy mchezaji bora wa Al Ahly wa wiki hii.
 
Back
Top Bottom