OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #61
Vita watafungwa tu kwa mchezo huu. Dakika zote wanashambuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Simba walivyologa. Kuna mpira ulipiga mwamba mara mbili.Bwalya kakosa tena dkk 51 ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16] vita wameloga kinyama
Wamemtoa tayariHiyo tena,bora walitoe tu
Jifarijini tu Utopolo, kesho mna mechi na Policeakija huku anapiga nyau hawata amini
Mechi ama mazoezi, kesho tunaua hao migamboJifarijini tu Utopolo, kesho mna mechi na Police
Sio wote mkuu, hivi humjui Drogba wewe ama!Mastriker wanaosukaga kokote duniani sijawahi kuwaelewa.
Al Ahly washinde gemu hii ili wawapige vizuri nyauMaombi kwa Victor Ibenge atoboe,waarabu wanajionaga wao ndo wana fast priority ya kufika mbali kwenye klabu bingwa.
Wanajisahaulisha[emoji23]Jifarijini tu Utopolo, kesho mna mechi na Police
Link Mkuu... au channel gani wanaonyeshaVita watafungwa tu kwa mchezo huu. dakika zote wanashambuliwa
Kweli mkuu maana huyu vita akipata sare ataongoza ligi kwa chance ya magoliKundi litazidi kuwa gumu wakitoka sare. Bora ahly angeshinda.
Kocha kamtoa kwa pressure zake tuu lakini wachezaji wakubwa huwa wanavumiliwa Ronaldo, Lewandiski, Messi nk nkBwalya out
Bora iwe hivyo maana kibarua kitazidi kuwa kigumuVita watafungwa tu kwa mchezo huu. dakika zote wanashambuliwa
Zbc2Link Mkuu... au channel gani wanaonyesha