NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Vita ataongoza kundi gani mkuu kwa magoli?Kweli mkuu maana huyu vita akipata sare ataongoza ligi kwa chance ya magoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita ataongoza kundi gani mkuu kwa magoli?Kweli mkuu maana huyu vita akipata sare ataongoza ligi kwa chance ya magoli
Ubora wa miquison mara nyingi ulikuwa unapogwa tag sana na chamaKocha kamtoa kwa pressure zake tuu lakini wachezaji wakubwa huwa wanavumiliwa ,Ronaldo,Lewandiski,Messi,nk nk
Hata Simba huwa hawamtoi Chama wanamsikilizia,Licha ya Bwalya kupaisha still ni fowadi wa kutumainiwa kuliko wapuuzi waliongizwa.
Mimi kama kinda la simba sc naombea leo wavae sare ili kundi letu liendelee kutupa sisi unafuu wa kufuzu hatua ya makundiMaombi kwa Victor Ibenge atoboe,waarabu wanajionaga wao ndo wana fast priority ya kufika mbali kwenye klabu bingwa.
akija huku anapiga nyau hawata amini
Pole mtani nakuona unavyo piga Dua lako kwa moyo mkunjufu kabisa bila shali
Al Ahl ashinde au ibaki drooHivi matokeo favourite kwa Simba ni yapi?
Watoe draw
Ahly ashinde au
Vita ashinde?
Nilijichanganya hapo Vita ana goli mbili tu labda iwe sare ya goli mbiliVita ataongoza kundi gani mkuu kwa magoli?
Goooooooool Al Ahl 2
Vita wamelegea hivyo ni ngumuYap,minataka iwe hivi mpaka mwisho,watoke 1-1 iwe droo.
Nilijichanganya hapo Vita ana goli mbili tu labda iwe sare ya goli mbili