Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mpira una maajabu yake, Ahly kakosa nafasi za wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akija huku anapiga nyau hawata aminiAs Vita ana mpango wa kushinda away zote!
Na bado Simba akienda Cairo atataka akojolee tena pale pale [emoji3][emoji3][emoji3]Huu mzunguko wa makundi kuna makocha vibarua vitaota nyasi.
Simba kamtoa bikra Al Ahly naona na Vita anataka akojolee palepale alipokojoa Simba.
Wakipata droo mechi zijazo na simba zitakuwa ngumu ni bora 1 afe Ili kutoa chance ya Simba na wa pili kusonga mbeleWatoke droo,ili asitokee wa kupata point sita kumkalibia Simba.
Huo mbuyu bora uangushwe tu, utawala ubaki wa ngozi nyeusi na tena yule jamaa wa mamelody akishinda urais wa CAF hapo ndiyo waarabu watapoteana kabisaHawa wababe wa Africa ni lazima watashuka mpaka chini kisha waanze upya kupanda.
Shughuli nyingi za wababe zinaalibikia nyumbani.
Vita kapigwa na Simba akiwa home.
Mazembe kapigwa na Mamelody akiwa home.
Al Ahly nae hii mechi asiporudisha goli basi anakufa home,Mbuyu huu unaangushwa masikini.
Mastriker wanaosukaga kokote duniani sijawahi kuwaelewa.Bwalya ubishooo mwingi
Hakika bahati pia ni sehemu ya soka kwakweli, Al Ahly hii mechi ya pili inahaha kupata matokeo?Hadi dkk hii bahati tuu imekuwa upande wa Vita
Hiyo tena,bora walitoe tuDkk 49,Bwalya kapaisha yeye na kipa huku mtangazaji akitaka kulia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pole mtani nakuona unavyopiga Dua lako kwa moyo mkunjufu kabisa bila shariAs Vita ana mpango wa kushinda away zote!
Kwani hamjui kama huyo Bwalya ndiye Yikpe aliyebadili avatar tu?Hiyo tena,bora walitoe tu