AL Ahly ataitoa Simba kwenye AFL Yanga atalipiza kwa kuitoa AL Alhy kwenye CAFCL

Yanga hii ianyoenda kuwa ya mwisho kwenye kundi 🀣🀣🀣🀣
 
Nyinyi na ubovu wenu mmepata mawili. Sisi wale tutabonda kwa mkapa tukienda kwao ndio wataamua wenyewe. Ila nakuhakikishia kuna mwarabu mmoja kati ya wale wawili anaenda kufa kwake dhidi ya Yanga
Tulikutungua ww afu unatuialta wabovum al ahly sio kina zalan wewe utakandwa mpaka ukija kustuka unaburuza mkia kwenye kundi
 
Nyinyi na ubovu wenu mmepata mawili. Sisi wale tutabonda kwa mkapa tukienda kwao ndio wataamua wenyewe. Ila nakuhakikishia kuna mwarabu mmoja kati ya wale wawili anaenda kufa kwake dhidi ya Yanga
Umefungwa na Ihefu ukamfunge Al Ahly unaota?
 
Kwa hiyo kufungwa na timu fulani ndio sababu nisiifunge timu fulani? Are you normal!!
Tatizo sio kufungwa na timu fulani

Hiyo timu fulani iliyokufunga ni kibonde halafu unaweka mategemeo ya kumfunga Big fish kama Al Ahly huo si utani huo?
 
Tatizo sio kufungwa na timu fulani

Hiyo timu fulani iliyokufunga ni kibonde halafu unaweka mategemeo ya kumfunga Big fish kama Al Ahly huo si utani huo?
Mkuu wewe hujawahi kufungwa na kibonde yoyote? Refer Mashujaa na Green Warriors halafu angalia sahivi unazungumza nini
 
Na simba nae atalipiza kisasi kwa kumtoa yanga kwenye ligi kuu bara..

Au labda niache may be simba hayawahusu kulipiza kisasi
 
AFL na CAFCL ni michuano tofauti wewe Utopolo.

Simba yupo mtoano AFL, Yanga atakua group stage CAFCL, upo!?

Michuano aliyopo Simba AFL Yanga ammo ila michuano ya CAFCL Simba yumo. sijui umeelewa mwana Uto?
Wapi sasa,hajui chochote!πŸ˜…πŸ˜…
 
Nakwenye tabiri zako haujawai kufeli...... nakukubali kwenye hilo.
 
Mkipata hata on target nawashauri mfanye parade
Tatizo kipindi Nadir harub " Canavaro" anawafanya kitu mbaya hao Al-ahal, ulikua bado ni mtoto mdogo, sikulaumu kwenye hilo.
 
Unajua hayo mashindano yanaendeshwaje? Hapo kuna mtoano na makundi, hebu kapitia notsi tena ndio urudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…