Al Ahly FC Wametufundisha Mpira, Bahati ilitubeba ila marekebisho yafuatayo yakifanyika Simba SC inaweza Kuwatoa AFL tarehe 24 Oktoba,2023

Pengine awe specific tujifunze nini? Au mtani ana maanisha kuwatumia kina SANGOMA?
Hivi goal la ugenini linatumika kuondoa tie AFL?
 
Kumbe al alhy wanashinda mechi kwa bahati
 
Jenta kaja na mada nzuri shida kubwa hawa MWIKO nyuma fc wamejaa chuki
Huwa wananitafutaga Wenyewe sasa ngoja niwanyooshe. Watu kutwa Wanakiri hapa JamiiForums kuwa hawanipendi na wananichukia GENTAMYCINE ila ndiyo hao hao wanashinda Kusoma Threads zangu hapa.

Ni Wapumbavu kabisa.
 
Hujalazimishwa kuchukua ushauri wake, shupazeni shingo Al Ahly atawapasueni hamtaamini.
 
Mzee mbona unaongea huku unaogopa.... ball la jana kila mtu kaona, itaitaitajika miaka 100 ili levels za jana zifikiwe na kilabu chochote Africa mashariki na kati.
Ball la jana ndio unona ndio best performance kwako ila kiuhalisia ndio performance mbovu ya Simba kupita misimu yote, kwasababu mmeshindwa kumfunga Al Ahly kwa Mkapa kama ilivyo desturi yenu.

Jambo la pili ni kwamba Al Ahly wanapokuwa away hawafanyi makubwa sana sana cha kwanza kwao ni kutafuta sare na kama itashindikana basi wafungwe kwa goli chache.
Takwimu ya Al Ahly ugenini sio nzuri ni mara chache sana kushinda
 
Mipasho ukidai nawe unaongea mpira.

NB: Al Ahly watakuwa tena kwa Mkapa siku so nyingi. Akiba ya maneno Ni muhimu Sana.
 
Tatizo kocha hayafanyii kazi maoni ya wadau Bali anashindana na maoni ya wadau....huko misri Boko atavaa kitambaa Cha unahoza, ili tu kutukera wadau. SIMBA INA TIMU NZURI TATIZO KOCHA HAWEZI KUPANGA KIKOSI.
 
Mchezaji anajua kabisa anaocheza nao Ni Al Ahly ila mwanzo mwisho anakua mvivu kufanya pressing…baadhi ya wachezaji wa Simba wanachekesha sana[emoji23]
 
Kwani ninyi mmeshinda mechi 2 Simba hajawahi kushinda mechi mbili kuingia makundi? Jitahidi kuongea vizuri brother ,unataka kuniambia kwa kuwa Yanga kafungwa mechi 1 home hapa basi Yanga ajifunze kwa Simba na kwamba Simba hana cha kujifunza kwa Yanga kisa Yanga game 1 kaloose?

Kwanza kwenye CAFCL Yanga imeshinda mechi nyingi kuliko Simba musimu yote?
 
Simba kaingia makundi bila kushinda mechi, kiufupi msimu huu hajashinda mechi yoyote ya kimataifa ya kimashindano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…