Al Ahly FC Wametufundisha Mpira, Bahati ilitubeba ila marekebisho yafuatayo yakifanyika Simba SC inaweza Kuwatoa AFL tarehe 24 Oktoba,2023

Umempiga kwenye mshono Hili popoma la musoma ,mara
 
Hivi hii ligi ni ya kusaka point au ni ya mtoano ?

Hebu funguka muraa.
Japo umeuliza Kinafiki na kwa Kunisanifu nikiamini Jibu unalo huku ukitegemea nitakujibu vibaya ila kwa kulijua hilo sasa nakujibu Kistaarabu tu kuwa Mashindano haya ni ya Mtoano na si ya Alama.
 
Umempiga kwenye mshono Hili popoma la musoma ,mara
Naona kwa sasa ID ya LIKUD imepumzishwa. Kuna Watu ni Wapumbavu sana japo mnajifanya ni Wajanja na mna Akili.

Hiki Kiingereza chako Kibovu, cha kutia Aibu na Kilichokuaibisha ulichokurupuka na Kujitutumua Kukiandika / Kuniandikia 'Wordsmith" Mimi GENTAMYCINE cha "Otherwise these is absolutely rubbish" ulijifunzia wapi?
 
Wewe Ni rubbish pointless
 
Wewe Ni rubbish pointless
Hiki Kiingereza chako Kibovu, cha kutia Aibu na Kilichokuaibisha ulichokurupuka na Kujitutumua Kukiandika / Kuniandikia 'Wordsmith" Mimi GENTAMYCINE cha "Otherwise these is absolutely rubbish" ulijifunzia wapi Moron and Bipolar Case Mmoja Wewe?
 

Ina maana wewe ndiyo unaijua Al Ahly leo? Si karibu kila msimu huwa inakuja kucheza na Simba hapa Dar? Au ni Al Ahly ipi unayoisema wewe ambayo pengine sisi wengine hatuijui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…