Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Wewe unasema jumamosi saa tatu huyu hapa chini anasema kesho ijumaa.. Mnanivuruga ufahamu mjue?Mkuu huyo wa juu anakupinga..which is which?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tangu lini mashabiki wa gongowazi wakaijua ratiba ya mechi za simba...ratiba kamili kutoka kwenye official website ya caf ni jumamosi tarehe 2
Screenshot_20190131-144455.jpg
 
Tukumbushane rekodi [nzuri] za Simba

*1978:* Simba 1—8 Enyimba
*1980:* Al Ahly 9—0 Simba
*1984:* Petle Atletico de Angola 6—0 Simba
*1989:* Simba 2—8 Solfa ya Gabon
*1991:* Yanga 4 —0 Simba. Simba hawakurudi second half
*1996:* All Hilaly 5—0 Simba
che*1999:* Sesco 4—0 Simba
*2005:* Simba 0—4 Enyimba
*2007:* Enyimba 5—0 Simba
*2012:* Liboro de Angola 5—0 Simba
*2019:* As vita 5—0 Simba

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vile Al-Ahly itapanga vijana wake wapya kwa kuidharau SIMBA SC !! hapo ndipo SIMBA SC wataibuka na ushindi wa ajabu (chukuwa akiba ya matokeo) !!!
mechi za mpira wa miguu huwa haitabiriki!!
Mgagaa na Upwa Dejavu tunahitaj kuwa na UTAIFA !! Simba wawakilishi wa TZ
 
relax mkuu haina haja ya kupaniki we jiandae kisaikolojia tu hapo kesho
Kesho hakuna mechi ambayo simba wanacheza..labda kama gongowazi ckuhz wanajiita simba wanamechi yao kesho si unajua wale wazee wa ndondo ckuhz labda njaa imezidi wameamua watafute ndondo wapate hela walipe mishahara....sina cha kujiandaa kisaikolojia sababu timu kufungwa ni sehemu ya mchezo..hata wakina arsenal,barcelona wanafungwa
 
Kesho hakuna mechi ambayo simba wanacheza..labda kama gongowazi ckuhz wanajiita simba wanamechi yao kesho si unajua wale wazee wa ndondo ckuhz labda njaa imezidi wameamua watafute ndondo wapate hela walipe mishahara....sina cha kujiandaa kisaikolojia sababu timu kufungwa ni sehemu ya mchezo..hata wakina arsenal,barcelona wanafungwa
haahaa unajifariji kupitia mgongo wa arsenal na barcelona kufungwa? Haaahaa sasa si uduwanzi huo
 
Simba ukanda huu ndio tumeshika bendera, ni haki yao fan wa timu nyingine kuifatilia SIMBA.
Tuko vzr mpaka kufika hapo tulipo, cha msingi wachezaji wajiamini,wasiwe na hofu, wacheze kwa kujituma na watumie nafasi watakazopata hii itawaongezea morali ya kuwin game hii.
Simba nguvu moja.
 
haahaa unajifariji kupitia mgongo wa arsenal na barcelona kufungwa? Haaahaa sasa si uduwanzi huo
Mduwanzi ni wewe ambae unataka kuaminisha kuwa timu kufungwa ni kitu cha ajabu..kwani Yanga nyie huwa hamfungwi..kwa iyo na wewe ni mduwanzi kuishabikia Yanga inayofungwa.nitajie duniani hapa ni timu gani ambayo huwa haifungwi..simba kufungwa nini cha ajabu
 
Tukifungwa sisi yanawahusu nini..nyie pambaneni na hali zenu
Hawa jamaa ni haki yao kuzomea ila waelewe Simba imefika hapo kwa uwezo sio bahati.
Wapige upatu Yanga yao ifike pia, wanajing'ata vidole Simba kuwa na point 3 mechi 2.,
Wao mechi zote 6 point 2.. Ni aibu ya ujamaa.
 
Nyie yanga mmechukua chochote kipi??...na mtachukua chochote kipi...wenzenu kufuzu hatua ya mtoano na kupewa bilioni 1.5 tayari ni mafanikio makubwa na njaanjaa zenu najua ulivyosikia iyo bilioni 1.5 nimacho ishakutoka
Hawajui simba hajapelekwa kama best looser, ni uwezo tu upo.
 
Aishi Manula,
Nicholas Gyan
Asante Kwasi.
Pascal Wawa,
James Kotei,
Rashid Juma,
Hassani Dilunga,
Meddie Kagere,
Clatous Chama na
Emmanuel Okwi.
Bora iwe hivyo zimbwe na mkude recently hawako sawa, nahisi mbele kasi itaongezeka rashidi juma akishambulia,sijui kuhusu chama kurudi nyuma kukaba lakini rashidi juma kukaba anaweza kabisa. kila la heri wandugu. msinywe pombe kabla ya mechi.
 
Tujadili kuhusu hili... Je, kocha Patric Aussems atapata nafasi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi dhidi ya As Vita kuelekea mechi ya jumamosi na Al Ahly?
Nikiwa mshabiki wa mpira na muumini wa maneno ya Haji ambaye hakosei hata siku moja, Simba waende kushambulia mwanzo, mwisho.
Timu ina kocha bora kabisa tena professor. Mastriker wote wapangwe. Adebayo, Meddie na Okwi. Mwarabu lazima akae. This is Simba. Ile ya DRC ilikuwa just a blip.
 
Back
Top Bottom