Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hata kichuya hujui kuwa mmeshauza?Kikosi kilekile kilichocheza Kongo dhidi ya AS Vita, kicheze isipokuwa Kichuya na Bocco waanze. Wabadilishe approach tu, wawe aggressive kwenye ukabaji na mashambulizi ya kushitukiza tu. Bocco, Kichuya na hata Kagere hufanya vizuri sana kwa kukabia juu. Ila wakitegemea mkabaji mmoja tu Kotei, Simba itavuna mabua tena.
1.Manula
2.Gyan
3.Tshabalala
4.Jjuuko
5. Wawa
6. Kotei
7. Kichuya
8. Mkude
9. Bocco
10. Kagere
11. Okwi
confirmed,anacheza jumamosi rashid jumaToa kichuya sio wetu tena, weka chama.
toa zimbwe weka kwasi, Rashid juma atafutiwe nafasi ana speed atafaa
acheni ujinga mechi ya mwisho ya mbao kacheza poa sanaNa alikuja kuziba pengo la kapombe,yule ni dancer simba wananunua Hata wakatabasamu,wakata viuno tu
Unadhani mkuu toka mechi ya kule Congo kuna mabadiliko mazuri kikosini yaani wamejifunza na kurekebisha makosa?confirmed,anacheza jumamosi rashid juma
Sasa mbona Egypt hujaenda?acheni ujinga mechi ya mwisho ya mbao kacheza poa sana
shut upSasa mbona Egypt hujaenda?
yes we can mnadhani tumekata tamaa?Hata mashabiki wa Al Ahly wamekipenda kikosi chso kitachoanza dhidi ya Underdog Fc.
yes,kotei anakaba ,rashid juma anaweza kuzuia na kwenda mbele, kuhusu kwasi sina la kusema huyu jamaa ni bora kupita kiasi hata free kicks wampe tuUnadhani mkuu toka mechi ya kule Congo kuna mabadiliko mazuri kikosini yaani wamejifunza na kurekebisha makosa?
shut up
Toa kichuya sio wetu tena, weka chama.
toa zimbwe weka kwasi, Rashid juma atafutiwe nafasi ana speed atafaa
Sina imani na kwasi kwa sasa, Rashid Juma, zile ni tough game kwake, kule hakuna mtu anayekupa nafasi ya kukimbiza.
Bila uzoefu unaweza kumaliza dkk hata 10 bila kugusa mpira
Unataka utumie utabiri wetu kucheza sportpesaMtanange kupigwa jumamosi saa 3:00 usiku kwa saa za Misri na saa 4:00 kwa saa za kwetu