Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Kwanza kabisa kudhiti pressure dk 20 za mwanzo.
Wahakikishe kwenye kumi na nane wasikubali kucheza faulo
Wakipata kona wazitumie waarabu kona wavivu
Kikiisha kipindi cha kwanza bila bila
Cha pili wazuie kwa kupiga counter attack
kagere na okwi waanze mbele...bocco aanzie benchi
chama awekwe ktk asichezw pembeni
manula asiteme mipira ovyo ovyo
pressure ya mashabiki na mafataki wasiwaze wala kuwapa presha
wakimbie sana siku ya leo
kila mchezaj ale glucose...kuongeza nguvu

SIMBA MOJA.....harafu wakija taifa wageni wote mechi ipigwe saa tisa mchana kwa jua hili lazima tuwachape...msiwachezeji jioni saa moja jua limezama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina dar kuna jua kali kuliko misri jangwani mkuu au!!
 
Ili mikia angalau mpate matokeo mcheze kana kwamba ndo mechi yen ya mwisho na mmebakiza 1point kufuzu.

[emoji375][emoji375]
 
Under dogs baada ya ku qualify hii hatua kuchukua zake 1.5 billion...gongowazi ambae sio underdog mayeye nasikia ka qualify hatua ya magroup whatsapp sijui kapewa shilingi ngapi😂😂😂....yaani ukiwa shabiki wa gongowazi lazima upate tabu sana..unamwita underdog timu aliyequalify hatua ambayo unamiaka 20 hujawahi qualify unaisikia tu kwenye radio
nasemaje, kamuombeni radhi ALIEWAITA UNDERDOGS
 
Under dogs baada ya ku qualify hii hatua kuchukua zake 1.5 billion...gongowazi ambae sio underdog mayeye nasikia ka qualify hatua ya magroup whatsapp sijui kapewa shilingi ngapi
 
Back
Top Bottom