Al Ahly wanastahili kucheza hata UEFA Champions League



Kuachwa mbali possession sio sababu, hata Bayern angecheza na Arsenal angemzidi mbali pia, Monaco, Ac milan, Chelsea..wote hawa wangecheza na Bayern or Barcelona wangeachwa mbali mno.

Tambua pia soka la kaskazini sio level yetu hata kidogo, sio watu wa fitna wala ushirikina kama wale wazee walioingia na kuku. Waarabu wako vizuri mno, wanajua kulitendea haki soka lao. Lakini kusema fitna na uchawi nitakubishia mpaka basi.

Binafsi, najivunia uwepo wa timu za kaskazini katika bara letu, otherwise tungeishia kupata aibu kwa wazungu.
 
vipi wameshinda ngapi?

Kufungwa ni kawaida Hata Barcelona yangu ilifungwa, chelsea ilifungwa, arsenal ilifungwa, A. Madrid ilifungwa n.k..sasa cha ajabu hapo ni nini!! Na isitoshe first time kukutananao.

Mkubali tu Al ahly na Wydad Casablanca ndio wafalme wa mpira barani Afrika..naongezea Raja Casablanca, Esperance, Mamelody, Zamalek na Pyramids ya Egypt.
 
Mkuu, hao Wajerumani walikuwa wanajihadhari na mpira wetu wa Kiafrika.
Al Ahly wangecheza Kiulayaulaya wangenyeshewa mvua ya magoli zaidi ya Asenali.
Nashauri tu Afrika tuwe na mtindo wetu wa asili wa mchezo huu. Wasitulazimishe mitindo yao ambayo sasa Marekani ya Kusini imewamaliza kisoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…