Al Ahly wanastahili kucheza hata UEFA Champions League

Al Ahly wanastahili kucheza hata UEFA Champions League

Yes, no doubts

Nipo sebuleni kwangu naangalia mpira wa Al ahly vs Bayern Munich aiseee siamini kama kuna timu kutoka Africa inaweza cheza kwa kujituma katika level hiii. Timu za Tanzania zina safari kubwa ambayo itawachukua miongo kadhaaa kuwafikia hawa jamaaa.

Congratulations KWA league ya Misri, mpira ni pesa, mpira ni uwekezaji. Mpira sio press conference kila siku. Kufika level kunahitaji vision na sio ubabaishaji wa mitandaoni eti mnalinda brand. Huu ndio mpira sasa, hawa jamaa wanaweza cheza hata UEFA na kuna timu za kijinga jinga zinachezea goals za kutosha.

Ni hayo tu
Ka Simba ka Manara ndio utopolo kabisaaaaa
 
Game nimeicheck yote ile Mtani. Hamna mpira wa mana Al Ahly ameonyesha pale.
Na ile ndio team no 1 africa, yaani mpira wetu bado sana. Kama wale ndio hivyo huku wengine sijui ndio inakuwaje.
 
Angalia statistics kwanza ndio uwasifie
20210208_221810.jpg
 
Hawa jamaa wakija kwa mkapa huwa hawakazi ila wakikaza kama hivi tutachezea mkono hapa hapa kwa mkapa.
Safari hii tunawapiga hapo hapo kwa Mkapa na kule kwa mechi ya mwisho tunawahenyesha
 
Kwa passing na build up toka chini walijitahidi ila ulikuwa unaona wakifika kwenye final third,unaliona lile lile tatizo ambalo huwa linaonekana kwa timu zetu zinapocheza na giants wa Africa......na namna ya wale jamaa wanavyowapora mipira kirahisi,wanafootwork nzuri,quality zaidi.....Mpira wetu ndiyo mwisho pale,sidhani kama Buyern walitumia plan a na b,wangeamua kucheza kwa kutaka kutoa adhabu,wangekula ✊🏿
 
Game nimeicheck yote ile Mtani. Hamna mpira wa mana Al Ahly ameonyesha pale.
Wamenikera kweli yaani mie naja jamaa watasema potw ya pote hapa na sie tuupige. Loh! Ndio kwanza wanakaa kwenue nusu yao.

Ila tuseme ukweli tuu...mpira ni magoli but ata fina ya caf champions league aliyeupiga mpora alikjwa zamalek na sio al ahly.
 
Game nimeicheck yote ile Mtani. Hamna mpira wa mana Al Ahly ameonyesha pale.
Wamenikera kweli yaani mie naja jamaa watasema potw ya pote hapa na sie tuupige. Loh! Ndio kwanza wanakaa kwenue nusu yao.

Ila tuseme ukweli tuu...mpira ni magoli but ata fina ya caf champions league aliyeupiga mpora alikjwa zamalek na sio al ahly.
 
Yes, no doubts

Nipo sebuleni kwangu naangalia mpira wa Al ahly vs Bayern Munich aiseee siamini kama kuna timu kutoka Africa inaweza cheza kwa kujituma katika level hiii. Timu za Tanzania zina safari kubwa ambayo itawachukua miongo kadhaaa kuwafikia hawa jamaaa.

Congratulations KWA league ya Misri, mpira ni pesa, mpira ni uwekezaji. Mpira sio press conference kila siku. Kufika level kunahitaji vision na sio ubabaishaji wa mitandaoni eti mnalinda brand. Huu ndio mpira sasa, hawa jamaa wanaweza cheza hata UEFA na kuna timu za kijinga jinga zinachezea goals za kutosha.

Ni hayo tu
vipi wameshinda ngapi?
 
Ah sasa wee muongo eti nikajua kuwa wekundu ndio bayern...wee bayern hii toka lini ikapaki basi nusu uwanja?
Wao kila gme wana take the initiative.
Hajui mpira huyo usibishane nae
 
Yes, no doubts

Nipo sebuleni kwangu naangalia mpira wa Al ahly vs Bayern Munich aiseee siamini kama kuna timu kutoka Africa inaweza cheza kwa kujituma katika level hiii. Timu za Tanzania zina safari kubwa ambayo itawachukua miongo kadhaaa kuwafikia hawa jamaaa.

Congratulations kwa league ya Misri, mpira ni pesa, mpira ni uwekezaji. Mpira sio press conference kila siku. Kufika level kunahitaji vision na sio ubabaishaji wa mitandaoni eti mnalinda brand. Huu ndio mpira sasa, hawa jamaa wanaweza cheza hata UEFA na kuna timu za kijinga jinga zinachezea goals za kutosha.

Ni hayo tu.
Utasikia wenyewe (Mbumbumbu SC) wanatamba "ZIS IS THIMBA - NGUVU MOJA".

Na wale wengine (Vyura SC) wao utawasikia "DAIMA MBELE NYUMA MWIKO".

Nenda kawaangalieni uwanjani sasa...........
 
Uto kwa kujitafutia faraja hamjambo! Juzi mkatafuta timu ndogo mpate faraja ila mkakalia.

NB: Al Ahly ni timu bora zaidi Africa na hakuna timu yoyote ya kuishinda Ahly kwa hapa Africa ni hivyo tu mpira una maajabu wanaweza poteza ila wao ni bora zaidi Africa, tatizo uzi wako umejaa unazi wa Uto.
Aly Ahly walipigwa ngapi na Mamelod
 
Back
Top Bottom