fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Al ahly 3-0 el mireikhKwenye uzi huu tutapata updates za game hiyo inayochezwa leo. Hizo timu zipo group 1 na Timu yetu pendwa Simba SC. Tuombee mechi hii iishe sare ili Simba aendelee kuongoza kundi hilo.
Dk 19: bado game ngumu
Unasemaa?Hao Al Ahly mnawaoverrate tu, hawana chochote
Unasemaa?
Simba atakula kumi. Watu wapo Serious kweli Na kazi. Sio kina Kagere Na Mugalu wanaruka ruka tu na kupoteza nafasi.
Wajifunze kwa wanaume hawa wapo Serious kweli kweli
Huyo ndo Bwalya og🤣🤣🤣🤣
Duuh yani ume create chance 20 kisha unafunga bao tatu tu, hawa jamaa ni wabovu sema wamekutana na team dhaifu tu hawa
Hakuna tim mbovu mzee awa waarabu wana moto wa kuotea mbali kwanza mpira wao umetulia sana beki kama ukuta kipindi cha kwanza Al marekh wamekaza sana ila cha pili asa dakika za jioni wameelemewa mnoo beki zinakimbizwa vbaya mno aisee Al Ahly ni balaa chamuhimu ni kukaza butiDuuh yani ume create chance 20 kisha unafunga bao tatu tu, hawa jamaa ni wabovu sema wamekutana na team dhaifu tu hawa
Hizo goli kumi Ilishindwa sevilla ndio waje hao vibopa wa farao?Simba atakula kumi. Watu wapo Serious kweli Na kazi. Sio kina Kagere Na Mugalu wanaruka ruka tu na kupoteza nafasi.
Wajifunze kwa wanaume hawa wapo Serious kweli kweli
Hizo goli kumi Ilishindwa sevilla ndio waje hao vibopa wa farao?
Endeleeni na ramli chonganishi si tunafanya maajabu na kuweka rekodi ambazo itawachukua karne kuja kuzifikia hizi ni rekodi ambazo zitaishi milele, hizo tabiri hazijaanza leo kuna wenzako walisema As vita itatupiga 5 unalipi la kuwaambia watu hao?
Eti kagere na mugalu unawatoa kosa...Sasa si bora uuziwe mbuzi kwenye gunia kuliko kuuziwa gunia lisilo na mbuzi?
Usajili wa kisado na yule kibopa mwingine sijui mnamuitwa nani ana jina gumu kama maisha yangu naye mmeingizwa chaka...anapiga pasi mbovu utafikiri anamiguu yote ya kushoto
Msifate meza yenye bia nyingi...hamjifunzi kwa as vita?Ramli chonganishi ni wewe kuamini mtamfunga Al-Ahly.
Cha ajabu nini hapo?Simba atakula kumi. Watu wapo Serious kweli Na kazi. Sio kina Kagere Na Mugalu wanaruka ruka tu na kupoteza nafasi.
Wajifunze kwa wanaume hawa wapo Serious kweli kweli
Mkuu hebu angalia hizo takwimu hapo alafu ujibu nilicho hoji, sio unasifia tu ovyo wakati takwimu ziko waza hapoHakuna tim mbovu mzee awa waarabu wana moto wa kuotea mbali kwanza mpira wao umetulia sana beki kama ukuta kipindi cha kwanza Al marekh wamekaza sana ila cha pili asa dakika za jioni wameelemewa mnoo beki zinakimbizwa vbaya mno aisee Al Ahly ni balaa chamuhimu ni kukaza buti
Ni halali uone mpira wa al ahly umetulia kulingana na timu wanayo cheza nayoHakuna tim mbovu mzee awa waarabu wana moto wa kuotea mbali kwanza mpira wao umetulia sana beki kama ukuta kipindi cha kwanza Al marekh wamekaza sana ila cha pili asa dakika za jioni wameelemewa mnoo beki zinakimbizwa vbaya mno aisee Al Ahly ni balaa chamuhimu ni kukaza buti
3-0Ni halali uone mpira wa al ahly umetulia kulingana na timu wanayo cheza nayo
Unaanzaje kutulia na mpira kwenye kikosi ambacho miquson anarudi hadi beki kwenda kukaba?
Timu iliyocheza na Bayern Munich na kufungwa goli mbili tu unaamini kiwa ni wabovu ila wameshinda kwa vile wamekutana na wachovu zaidi?Mkuu hebu angalia hizo takwimu hapo alafu ujibu nilicho hoji, sio unasifia tu ovyo wakati takwimu ziko waza hapo
Mmmh... Acha nikae kimya.Hao Al Ahly mnawaoverrate tu, hawana chochote
Kwa nini asiamini wakati simba ikishawahi kuifunga Al AhlyRamli chonganishi ni wewe kuamini mtamfunga Al-Ahly.