Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unaona ni za uwongo siyo? uonavyo ni idadi chache au nyingi sana
Wengi sana... Haiwezekani.wewe unaona ni za uwongo siyo? uonavyo ni idadi chache au nyingi sana
Aiseeeeeeeee.........wazeee wa propaganda washawai shitakiwa kua wanafanya propaganda za chuki!
Dunia wanaitangazia vingine na uarabuni wanawatangazia vitu vingine
Uonavyo ni chache ama nyingi ndiyo nini?.wewe unaona ni za uwongo siyo? uonavyo ni idadi chache au nyingi sana
Hao waarabu wanaishi dunia ipi ambayo nyie waswahili hamuishiwazeee wa propaganda washawai shitakiwa kua wanafanya propaganda za chuki!
Dunia wanaitangazia vingine na uarabuni wanawatangazia vitu vingine
Inaweza kuwa haifiki hiyo idadi.Wengi sana... Haiwezekani.
Kila siku naangalia Al-Jazeera na matukio Yao kuhusu hivi vita vya Israel na hamas ni live bila chenga. Kwa jinsi ambavyo jeshi la Israel lilivyoiharibu Gaza ni kweli idadi iliyotajwa ya vifo na inawezekana ni zaidi ya hapo.wazeee wa propaganda washawai shitakiwa kua wanafanya propaganda za chuki!
Dunia wanaitangazia vingine na uarabuni wanawatangazia vitu vingine
So Al Jazeera wanadanganya?Inaweza kuwa haifiki hiyo idadi.
Sasa hizi mbona zinafurahisha wamarekani na watu wao... Vifo 19,000 ni watu wengi si kidogo. Watu wanafurah ujue.Kila siku naangalia Al-Jazeera na matukio Yao kuhusu hivi vita vya Israel na hamas ni live bila chenga. Kwa jinsi ambavyo jeshi la Israel lilivyoiharibu Gaza ni kweli idadi iliyotajwa ya vifo na inawezekana ni zaidi ya hapo.
Israeli imepiga mabomu makazi ya watu, shule, hospitali na baadhi ya nyumba za ibada. Wanaua mpaka waandishi wa habari, watoto, kina mama,wazee n.k.
Sasa kwa staili hiyo hakuna propaganda hapo. Al-Jazeera ni shirika la utangazaji linalocover kila kitu kwenye habari , tena zile ambazo haziwafurahihishi American na washirika wao.
Israel ueni hao dumuzi wote msibakize hata mmoja, wameua Watanzania wasio ma hatia. Waueni kinyama bila ya huruma
Wajinga ndio wanafurahi. Israeli anachofanya Gaza ni " Genocide " ile siyo vita ya kawaida ni mauaji ya kimbari kama walivyouwawa wao milioni 8 huko Ujerumani.Sasa hizi mbona zinafurahisha wamarekani na watu wao... Vifo 19,000 ni watu wengi si kidogo. Watu wanafurah ujue.
Kwa kuangalua mji ulivyo chakaa
Ulitaka wafanyeje baada ya kushambuliwa?Wajinga ndio wanafurahi. Israeli anachofanya Gaza ni " Genocide " ile siyo vita ya kawaida ni mauaji ya kimbari kama walivyouwawa wao milioni 8 huko Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walichofanya Hamas ni chanzo cha haya yanayoendelea wacha wawachape kisawa sawa... Wapumbavu ndo watatetea. Nyie watanzania hata mkitekwa mkauawa hakuna anayejali sababu hamna thamani. Wenzenu wanaweza ingia vitani sababu ya watu 500 tu ninyi huku hata kutoa tamko kwa watu wenu wawili wameuawa mnashindwa. Wacha walipize tu....Wajinga ndio wanafurahi. Israeli anachofanya Gaza ni " Genocide " ile siyo vita ya kawaida ni mauaji ya kimbari kama walivyouwawa wao milioni 8 huko Ujerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umechakaa sana.....Kwa kuangalua mji ulivyo chakaa
Al jazeera ndio wafadhiri wakuu wa Hamas.. unategemea nini kwenye news ni full propaganda tu Israel aonekane mbaya.. kuna siku boger wa Hamas alikuwa anatengeneza shoort fvido kama airstike imelipua kituo cha shule watu wanaigiza wapo hoi ila hamna sehemu iliyolipuka na mtoto wamempaka rangi nyekundu nyingi mno analia kama mtoto aliyekosa uji hana jeraha hiyo kipande cha mtoto around 12 years wakakiweka kwenye breaking news hahaha nikawaona wangese sana.. and kuna mama wa kipalestina alikuwa anawalaumu hamas wakamziba mdogo waandishi hahahaKila siku naangalia Al-Jazeera na matukio Yao kuhusu hivi vita vya Israel na hamas ni live bila chenga. Kwa jinsi ambavyo jeshi la Israel lilivyoiharibu Gaza ni kweli idadi iliyotajwa ya vifo na inawezekana ni zaidi ya hapo.
Israeli imepiga mabomu makazi ya watu, shule, hospitali na baadhi ya nyumba za ibada. Wanaua mpaka waandishi wa habari, watoto, kina mama,wazee n.k.
Sasa kwa staili hiyo hakuna propaganda hapo. Al-Jazeera ni shirika la utangazaji linalocover kila kitu kwenye habari , tena zile ambazo haziwafurahihishi American na washirika wao.
Alafu cha ajabu wote ni raia , waongo wakubwa. Juzi huko west bank magaidi yaliuawa wao wakasema idf imeua raia.