#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

Hebu tuwekee hapa hiyo 'scientific research' na ikathibitika kuwa ni credible, objective and reliable to be practised ili kila mmoja ajisomee ambayo imesheni ushuhuda kwa waliochanjwa wakajichanganya na waathirika lakini hawakuathirika ili tukuamini na hicho unakipigia chapuo huku ukibagaza viongozi wako.

Umeongelea kuhusu chanjo za surua, polio, nk kwamba kwanini hakuna alipinga kupata chanjo hizo? Swali , je kipindi hicho mazingira ya chanjo hizo yalipata changamoto kama za korona? Korona is na man made disease from one of the dignified laboratory experts....
1. Wewe ndio umedai hazipo effective sasa nakuuliza umefanya empirical study kugundua haziko effective au umetumia hisia tu?? Unajua maana ya burden of proof?

Mabeberu tafiti zao zipo humu (angalia hiyo video inachambua comparative study ya vaccine dev't ya pfizer, Astrazeneca et al...)

So wewe unayebisha ndio prove otherwise coz facts on the ground ni kwamba zimepitia clinical trials na zimekuwa certified. Unless ww una elimu kubwa ya epidemiology kuliko Academia wa Bernard Hopkins, CDC-US, na WHO nzima!!

2. Hapa pia una rely on heresay without facts kma Rais wenu tu..... Unaweza eleza hyo Corona ilitengenezwa maabara gani. Btw nani aliyesema biological attacks haziwezi pata antidote? Maana formula ni kwamba ukishajua tu hyo corona iliyotegenezwa imetumia ingredient gani basi ww unaenda kufanya reverse engineerinh kupata kinga!! So sio hoja kwamba kitu kikitengenezwa hakiwezi kuwa na tiba.

Ni vizuri mijadala ijikite kwa facts sio hearsay
 

Attachments

Ndio faida ya kuongea bila kufanya utafiti.
unataka utafiti gani kwasasa ili uridhie kuwa chanjo ya/za covid si salama kwa sasa?, media kibao zimeripoti vifo baada ya chanjo pamoja na madhara mengine; unataka utafiti gani juu ya hili?
Take time upitie SOP na protocol za vaccines, utaridhika kuwa its premature kwa chanjo ya/za covid kuanza kutumika.
 
Rais wetu mwanasayansi ka make headline

Halafu kanisa sasa ndo linataka tahadhari
Na Rais mwanasayansi anataka maombi

The iron of it
Nchi hii haijakaukiwa vi-wonder hata siku moja: wanasayansi kuamini katika uponyaji wa imani(maombi) na makasisi katika utabibu wa kisayansi!
 
Yaani unaona mimtu inakimbilia hatari na ww kama nyumbu unaunganisha kufuata mkumbo kisa usiji'dissociate!? Hii akili au matope! We'll stand as winner in this as well! God Almighty 🙏 is in our side!

Time will tell. Kuna vitu we have a choice. Kuna vitu hakuna namna. That is the sad reality about living in this planet.
 
The most stupid president in the global history.
Scientist who believes in NYUNGU????
 
unataka utafiti gani kwasasa ili uridhie kuwa chanjo ya/za covid si salama kwa sasa?, media kibao zimeripoti vifo baada ya chanjo pamoja na madhara mengine; unataka utafiti gani juu ya hili?
Take time upitie SOP na protocol za vaccines, utaridhika kuwa its premature kwa chanjo ya/za covid kuanza kutumika.
Labda wewe utusaidie: mh. rais alifanya lini na wapi utafiti akajua hizo chanjo hazifai?
 
Wao AL JAZEERA watueleze hiyo Chanjo ya mbwa kama ni salama. Mimi ninaungana na rais wangu kukataa...
 
Wenyewe wana ushahidi wa kumpinga rais wetu, Au wanataka tu kumkaba koho raisi wetu
 
Hebu ucmnasibishe Mtukufu wa daraja na huu ujinga wako"kuna msemaji mmoja aliwahi kusema hakika ujinga wa utoton unaweza ukamalizika lkn ujinga wa ukubwan lazma utakufa nao tu "
Hotuba bora kabisa kuwahi tolewa na Rais wetu tangu achaguliwe tena awamu ya pili ni hii ya leo!

Mtume S.a.w anasema 'Sema kweli japo ukweli unauma'

Rais Magufuli kasema ukweli ambao wengi wanaujua lakin hawathubutu kuusema

Hivi hamjui kuwa Wasichana wengi wa mjini hasa walau waliomaliza elimu ya Sekondari wanakabiliwa na matatizo ya Uzazi kutokana na chanjo walizodanganywa kuwa ni za kuzuia Mabusha ya kike na kansa ya shingo ya uzazi mwanzoni mwa miaka ya 2000?

Rais Magufuli ni shujaa wa kuuzungumza ukweli hadhran kuliko Rais yeyote aliewahi kutawala Tz tangu Dunia ianzishwe

Kuna Poyoyo wanamshinikiza Raia afunge nchi bila ya kutuambia ni nchi gani imeishinda Corona kwa hatua walizochukua?

Yaan tuache Nyungu na dawa zetu za mitishamba tulizothibitisha ubora wake sie wenyewe tukakabidhi mabega yetu kwny Machanjo ambayo hata Raia wao wenyewe wanatilia shaka pamoja na kampen zote walizofanya?

Kwny Corona nampongeza sana Rais wetu na namuombea kwa Allah Subhana wa taala aendelee kumpa ujasiri na uthubutu!

1) Aljazeera kwa unafiki wao wanataka evidence gani toka kwa Rais wetu kuhusu hizo chanjo wakati sote tunajua chanjo za Corona zime skip principle kadhaa muhimu za chanjo zote zilizowahi kutolewa na kuthibitishwa na WHO ikiwemo kufupishwa kwa muda kutoka miezi 18 hadi chini ya miezi 12 bila ya kutuambia athari za kuchepushwa huko

2) mbona chanjo hizo hazijapunguza waathirika

3) Waliopata hizo chanjo tumeshataarifiwa wanagongwa tena na Corona
 
Mtukufu wa Darja anatuambia tuseme ukweli japo ukweli huo unauma!

Unajua kwanini alisema Ukweli unauma?
Hebu ucmnasibishe Mtukufu wa daraja na huu ujinga wako"kuna msemaji mmoja aliwahi kusema hakika ujinga wa utoton unaweza ukamalizika lkn ujinga wa ukubwan lazma utakufa nao tu "
 
So wewe unayebisha ndio prove otherwise coz facts on the ground ni kwamba zimepitia clinical trials na zimekuwa certified. Unless ww una elimu kubwa ya epidemiology kuliko Academia wa Bernard Hopkins, CDC-US, na WHO nzima
 
Umekariri chanjo lazima iwe sindano ya kupiga begani

Tumetumia mitishamba na nyungu na Corona ikapeperushwa hadi nyie wasomi makini mkavua Barakoa na kuacha vitakasa mikono mkashiriki kampeni zote za uchaguzi bila ya kanuni zozote za kujilinda

Pumba
 
Back
Top Bottom