Al Jazeera wasema inachofanya Israel sasa haikuwahi fanya before

Jino kwa jino ndio imani yao. But uzuri hawachokozi; ni wapole kama hua ukiishi nao kwa amani ila wabaya kama simba ukiwapanda kichwani. Wacheni kuichokoza Israel mupate amani.
 
Taarifa zilishavuja ndege za US na UK ndizo zilizoshambulia Yemen.
 
Hata lile bomu lililomuua kiongozi wa Hizbullah ni msaada wa UK.
 
Jino kwa jino ndio imani yao. But uzuri hawachokozi; ni wapole kama hua ukiishi nao kwa amani ila wabaya kama simba ukiwapanda kichwani. Wacheni kuichokoza Israel mupate amani.
Una uhakika hawachokoz au hutaki kujifunza unataka training bongo.. mm naishia hapa
 
Akirudishiwa asianze toa milio yeye na bwana ake USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…