Al Jazeera wasema inachofanya Israel sasa haikuwahi fanya before

Al Jazeera wasema inachofanya Israel sasa haikuwahi fanya before

Jino kwa jino ndio imani yao. But uzuri hawachokozi; ni wapole kama hua ukiishi nao kwa amani ila wabaya kama simba ukiwapanda kichwani. Wacheni kuichokoza Israel mupate amani.
Wanawachokoza wapalestina
 
Taarifa zilishavuja ndege za US na UK ndizo zilizoshambulia Yemen.
Sawa na ambavyo Iran imeishambulia Israel kuisaidia Hezbollah, hivyo hivyo, taifa lolote rafiki watawasaidia Israel pia. Ila missile hizo thamani yake si tungepewa tu tufute umakini huku kwetu, badala ya kupondea magorofa na damu za watu.
 
Bora siku hizi hatusikii cease fire, piganeni mpaka kieleweke.
Vita huleta heshima.
 
Kuua raia na majengo yasio na hatia hvyo ndivyo anavyoweza muisrael
 
Acha wauane tu, sisi yetu macho
Wakati kuna ndugu zako wapo huko Beirut wanarudi kwenda kulazwa Dodoma baada ya kupigwa bomu huko Beirut, ndugu zetu mliopo Iran tokeni huko Tehran msije mkaleta lawama baadae
 
Netanyahu alisema haya maeneo atayarudisha enzi za zama za mawe wakadhani anatania. Naona anataka heshma ifuate mkondo, vikombora vilivyokua vinarushwa kutoka Hamas vishaisha siku nyingi, huko kinachoonekana ni bendera za Israel na vikundi vidogo kama vya panyaroad. Ili utulivu ukamilike, lazima kumng'oa meno Hezbollah. Hii itakuwa imeondoa uchokozi wote wa Iran kupitia proxies zake.
 
Taarifa zilishavuja ndege za US na UK ndizo zilizoshambulia Yemen.
Allah muweza wa yote mnalolitegemea lilishindwa kuzuia hizo ndege za US na IK. Allah sucks anakera anashindwa na yahud. Bure kabisa limungu la kiarabu.
 
Back
Top Bottom