Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Taifa la Mungu linaua watu walioumbwa na Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa la Mungu linaua watu walioumbwa na Mungu
Wanawachokoza wapalestinaJino kwa jino ndio imani yao. But uzuri hawachokozi; ni wapole kama hua ukiishi nao kwa amani ila wabaya kama simba ukiwapanda kichwani. Wacheni kuichokoza Israel mupate amani.
Sawa na ambavyo Iran imeishambulia Israel kuisaidia Hezbollah, hivyo hivyo, taifa lolote rafiki watawasaidia Israel pia. Ila missile hizo thamani yake si tungepewa tu tufute umakini huku kwetu, badala ya kupondea magorofa na damu za watu.Taarifa zilishavuja ndege za US na UK ndizo zilizoshambulia Yemen.
Wanaouwa hovyo siyo magaidi?Hamna namna sasa. Hata Tanzania tuliamua kufyeka magaidi kule kibiti na mkuranga bila kupepesa macho
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amezitaka nchi zote za kiarabu kuungana Ili wamshughulikie Adui
Magaidi Hamas na Hezbollah ndio wanaua watu hovyoWanaouwa hovyo siyo magaidi?
Wakati kuna ndugu zako wapo huko Beirut wanarudi kwenda kulazwa Dodoma baada ya kupigwa bomu huko Beirut, ndugu zetu mliopo Iran tokeni huko Tehran msije mkaleta lawama baadaeAcha wauane tu, sisi yetu macho
Kichapo cha kudonyolewa kitaendelea mpaka mazayuni waondoke Palestina.Magaidi Hamas na Hezbollah ndio wanaua watu hovyo
Vipi Allah na mudi msaada wao? 😆😅🤣👆🏿Hata lile bomu lililomuua kiongozi wa Hizbullah ni msaada wa UK.
Allah muweza wa yote mnalolitegemea lilishindwa kuzuia hizo ndege za US na IK. Allah sucks anakera anashindwa na yahud. Bure kabisa limungu la kiarabu.Taarifa zilishavuja ndege za US na UK ndizo zilizoshambulia Yemen.
Na magaidi wataishi shimoni kama panya buku.Kichapo cha kudonyolewa kitaendelea mpaka mazayuni waondoke Palestina.
Mazayuni hawatakaa waishi Palestina kwa amani.
Kumbuka hayo.
Viva USTaarifa zilishavuja ndege za US na UK ndizo zilizoshambulia Yemen.
"panya buku" wanaibuka huko ghaza, wanang'ata wanapotea mashimoni.Na magaidi wataishi shimoni kama panya buku.
Amevujisha sheikh wa msikiti gani mkuu?Hata lile bomu lililomuua kiongozi wa Hizbullah ni msaada wa UK.
Sheikh wa masjid startergear.Amevujisha sheikh wa msikiti gani mkuu?