Al Masry wawasili salama Dar tayari kupambana na Simba SC

Al Masry wawasili salama Dar tayari kupambana na Simba SC

Klabu ya Al Masry ya nchini Misri imewasili salama bin salmini jijini Dar es salaam tayari kuwavaa simba sc.Klabu ya Al masry imewasili na nyota wao Islam Salah mdogo wake Mohammed Salah wa Liverpool fc pia nyota wengine kama Aristide Bance na Ahmed Coma wamewasili salama.Mchezo baina ya Al masry na simba sc utachezwa siku ya jumatano saa kumi na mbili jioni.

fbfe420c0f497371e93ef8086d92e59b.jpg
c18f2cbf2812b4f1e9fa5838ede4d52b.jpg



Wakati huo huo beki wa simba zimbwe jr AKA Tshabalala anatarajia kukabana na jitu lenye miraba minne ,jitu refu ,striker mwenye nguvu zake Bance [emoji23] [emoji23]

6531a875970d9f3f9496610ce8d2b4b4.jpg


e9eb5d9947db2358421d4326bd07c658.jpg
Afya ya huyu mwenzetu ni mgogoro.
 
Simba mmeshatoka ..Yanga anawabusu kichogoni..mwakani matopeni kama kawaida yenu
 
Simba mbeleeeeeee(mh ile sio kwa mbavu huyu, bwireeee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ) ah nilisahauu, thimbwa wooyoo
 
Mechi anacheza Simba, uoga wanapata watu wa YANGA.. Mara mdogo wa Mohamed Salah, angekua ana kiwango na yeye angekua Europe..


Ni sawa useme simba kuna mdogo wake Samattah
 
Abdallah Seif King Kibadeni maoni yake kuhusu Simba Vs Al Masry na Young Africans Vs Township Rollers bila kusahau ushauri wake kwa wachezaji na viongozi wa klabu hizo kongwe wafanye nini ktk michuano hiyo ya kimataifa wapate matokeo chanya nyumbani. .


Source: Azam TV
 
Kwanini macho ya watu wengi yapo kwenye mechi ya simba na siyo yanga?
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji16] [emoji16] [emoji23] [emoji23] jemeni hz pic mnamchokoza haji manara
 
wachezaji wetu huwa wanakula nini? wamekauka ni kama wanakula mirungi kila siku
 
Embu nyie Yanga kuweni wazalendo basi. Kesho tushirikiane kuishabikia Simba, dhidi ya waarabu... Sisi sote ni Watz, na huu ni mpira tu. Michezo ni furaha wajameni.
 
Back
Top Bottom