Hawa hawawezi kutufunga nyumbani nasema tena hawana, hapo wapo kwao kazi ya kujiangusha ovyo mpira haueleweki ndo waje watufunge kwetu hao subutu.Point 1 muhimu sana
Kwa jinsi nilivyowaona hawa jamaa wana uwezo wa kutupiga kwa Mkapa
As vita ni ushindi sio sare labda huyo al ahlyMatokeo kama haya pia yanatakiwa kwa AS Vita na Al Ahl
Sio vibonde kama tulivyodhani, wanafungika lakini sio timu ya kuichukulia poaHawa hawawezi kutufunga nyumbani nasema tena hawana, hapo wapo kwao kazi ya kujiangusha ovyo mpira haueleweki ndo waje watufunge kwetu hao subutu.
So tukimchapa kenge yeyote pale kwa mkapa tushafuzu makundi sio?hayo ni matokeo makubwa sana. Tunahutaji point 3 tu kwa sasa
Daah mazembe anakibarua kigumu nayeHawa TP Mazembe tuletewe robo fainali. Wamepigwa kwao na Mamelod
Kwani Simba si tulikubaliana tunashinda kila mechi kwa kikosi chetu kipana pira Biriani 4G?
Draw ya nini tena jamani?[emoji24][emoji22]
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Msudani 2 simba 1
Tunatoa droo na Yanga princess... hatutaki kuharibu marinda ya watani zetu...Kwani Simba si tulikubaliana tunashinda kila mechi kwa kikosi chetu kipana pira Biriani 4G?
Draw ya nini tena jamani?[emoji24][emoji22]
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
ModeratorGooooooooooooooooo,
Chris Mugalu anaipatia Simba goli swafi kabisa.
Simba 1-0 Al Marrikh.
Woyooooooooooooooo.
Akishinda zilizobakia 3 atakuwa na ponts 9 jumlisha 3 alizonazo anakuwa na 12....Al Ahl akimpiga As Vita, Hapo tutakuwa tunahitaji point 3 tu. Maana Vita hata akishinda game zote atakuwa na point 6 jumla 9.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]Tunatoa drop ya Yanga princess... hatutaki kuharibu marinda ya watani zetu...