Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

Point 1 muhimu sana

Kwa jinsi nilivyowaona hawa jamaa wana uwezo wa kutupiga kwa Mkapa
Hawa hawawezi kutufunga nyumbani nasema tena hawana, hapo wapo kwao kazi ya kujiangusha ovyo mpira haueleweki ndo waje watufunge kwetu hao subutu.
 
Kwani Simba si tulikubaliana tunashinda kila mechi kwa kikosi chetu kipana pira Biriani 4G?
Draw ya nini tena jamani?[emoji24][emoji22]

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Hawa hawawezi kutufunga nyumbani nasema tena hawana, hapo wapo kwao kazi ya kujiangusha ovyo mpira haueleweki ndo waje watufunge kwetu hao subutu.
Sio vibonde kama tulivyodhani, wanafungika lakini sio timu ya kuichukulia poa
 
Simba hajapiga biriani kabisa leo sijuwi tatizo nini.
 
Al Ahl akimpiga As Vita, Hapo tutakuwa tunahitaji point 3 tu. Maana Vita hata akishinda game zote atakuwa na point 6 jumla 9.
Akishinda zilizobakia 3 atakuwa na ponts 9 jumlisha 3 alizonazo anakuwa na 12....

Utamu utakuwa hawa majamaa watoe droo mechi zao zote 2 za wao kwa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…