HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 273
Waambie tuko tayari hawatutishi hata kidogo,TZ siyo Kenya bana:target:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi yule kijana wa kisomali anayeishia na jina la "bashe" c ni kati ya watendaji wakuu wa kampuni inayomiliki gazeti la mtanzani?!....msinifikirie vibaya wakuu najaribu tuu kuunganisha dot.tafakari.
Vice verse. Tanzania watu watano wakipita basi WATATU ni waislamu
haya sasa sisi TZ tumewakosea nini?
Maana Kenya na UG wanasema sababu wamepeleka majeshi Somalia. watutajie basi na sababu ya kuvamia TZ. Ukichunguza hawa watu wameamua tu Dunia isitawalike baaaaasi, hawana sababu za msingi, they are MONSTERS period!
Tatizo la Gazeti la Mtanzania ni kuwalisha maneno watu.
inawezekana wanashirikiana na wale wanaosema Tanzania isitawalike.haya sasa sisi TZ tumewakosea nini?
Maana Kenya na UG wanasema sababu wamepeleka majeshi Somalia. watutajie basi na sababu ya kuvamia TZ. Ukichunguza hawa watu wameamua tu Dunia isitawalike baaaaasi, hawana sababu za msingi, they are MONSTERS period!
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
wanataka shekhe ponda haachiwe
good question au wanataka kuuza gzeti tu?je wameelezwa kwa nini tanzania inataka kushambuliwa? Maana makundi ya kigaidi hayashambulii tu bila ya sababu
Namuomba PENGO aanze mchakato wa kuunda jeshi mapema,maana kwa serikali iliyopo madarakani haichelewi kuacha makanisa yote yakalipuliwa na viongozi wote wa kanisa wakiuawa wakati wao wakitumia jeshi kuwashughulikia CHADEMA.
Nafikiri mnanielewa,kwani mpaka sasa ni makanisa mangapi yamechomwa Moto na viongozi wangapi wa kiroho wameuawa na hajapatikana hata mmoja aliyekamatwa!?
WAKRISTO TUJIANDAE KUPIGANA WENYEWE!
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...