Al Qaeda yaitisha Tanzania

Al Qaeda yaitisha Tanzania

Waambie tuko tayari hawatutishi hata kidogo,TZ siyo Kenya bana:target:
 
hivi yule kijana wa kisomali anayeishia na jina la "bashe" c ni kati ya watendaji wakuu wa kampuni inayomiliki gazeti la mtanzani?!....msinifikirie vibaya wakuu najaribu tuu kuunganisha dot.tafakari.
 
hivi yule kijana wa kisomali anayeishia na jina la "bashe" c ni kati ya watendaji wakuu wa kampuni inayomiliki gazeti la mtanzani?!....msinifikirie vibaya wakuu najaribu tuu kuunganisha dot.tafakari.

Mbona hata Abdul Kinana na Aden Rage ni Wasomali pia!
 
Namuomba PENGO aanze mchakato wa kuunda jeshi mapema,maana kwa serikali iliyopo madarakani haichelewi kuacha makanisa yote yakalipuliwa na viongozi wote wa kanisa wakiuawa wakati wao wakitumia jeshi kuwashughulikia CHADEMA.

Nafikiri mnanielewa,kwani mpaka sasa ni makanisa mangapi yamechomwa Moto na viongozi wangapi wa kiroho wameuawa na hajapatikana hata mmoja aliyekamatwa!?

WAKRISTO TUJIANDAE KUPIGANA WENYEWE!
 
Vice verse. Tanzania watu watano wakipita basi WATATU ni waislamu

Hapa tz ukipita utakutana na WATU 3 na waislamu 2.........Siku hizi muislamu hahesabiki km mtu. Ni mnyama tena wa mwitu
 
haya sasa sisi TZ tumewakosea nini?
Maana Kenya na UG wanasema sababu wamepeleka majeshi Somalia. watutajie basi na sababu ya kuvamia TZ. Ukichunguza hawa watu wameamua tu Dunia isitawalike baaaaasi, hawana sababu za msingi, they are MONSTERS period!

Labda kumbughudhi bwana tembo kinana msomali mwenzao
 
point of correction sio 'Tanzania Daima' ni 'Mtanzania' ni magazeti tofauti na na itikadi tofauti
 
Tuanze lecture:
Mama wa mtume Muhammed ni nani?
Jibu...Asha

Bi Khadija ana uhusiano gani na Mud'd?
Jibu..mkewe
Huenda ntapona maana kama hujui ni bullet tu
 
haya sasa sisi TZ tumewakosea nini?
Maana Kenya na UG wanasema sababu wamepeleka majeshi Somalia. watutajie basi na sababu ya kuvamia TZ. Ukichunguza hawa watu wameamua tu Dunia isitawalike baaaaasi, hawana sababu za msingi, they are MONSTERS period!
inawezekana wanashirikiana na wale wanaosema Tanzania isitawalike.
 
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...

Mimi niliwahi kuwa na mashaka na wewe juu ya ufahamu wako, leo nimethibitisha kuwa wewe ni mtu wa kupuuzwa tu! kwanza haya ni mambo muhimu sana kwa usalama wa Nchi yetu na ustawi wake wewe unalipeleka kwenye mizaa na siasa, pili huna muda wa kutafakari unakurupuka tu nadhani ili kuwapendeza kikundi cha watu fulani(lumumba), tatu badala ya kujaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo husika unajadili gazeti na kuacha kitisho kwa Nchi bila kujal, kwahiyo wewe ni mtu wa kupuuzwa tu!!!! BURE KABISA WEWE
 
Namuomba PENGO aanze mchakato wa kuunda jeshi mapema,maana kwa serikali iliyopo madarakani haichelewi kuacha makanisa yote yakalipuliwa na viongozi wote wa kanisa wakiuawa wakati wao wakitumia jeshi kuwashughulikia CHADEMA.

Nafikiri mnanielewa,kwani mpaka sasa ni makanisa mangapi yamechomwa Moto na viongozi wangapi wa kiroho wameuawa na hajapatikana hata mmoja aliyekamatwa!?

WAKRISTO TUJIANDAE KUPIGANA WENYEWE!

Issue yoyote inayohusu usalama, binafsi huwa siipuuzi!!!

 
Mtanzania siku hizi habari zake nazipuuza, waandishi wake hawaonyeshi weledi katika tasnia ya habari.
Sijaisoma hii.
 
hizi ni plopaganda za kawaida ambazo mara kwa mara huasisiwa na kova. hutoa maneno makali na ya majivuno ili aonekane mwamba. madhara yake watafanya kweli hawa magaidi. pia u wapi uhusika wa alquaeda kwenye mada? mbona mada inazungumzia al~shabab? au ndo biashara
 
Back
Top Bottom