Al Qaeda yaitisha Tanzania

Al Qaeda yaitisha Tanzania

Tuanze lecture:
Mama wa mtume Muhammed ni nani?
Jibu...Asha

Bi Khadija ana uhusiano gani na Mud'd?
Jibu..mkewe
Huenda ntapona maana kama hujui ni bullet tu

Mke wa mtume wa mwisho ni nani
Jibu....Aisha
Alimuoa akiwa na umri gani?
Jibu.....miaka 8
 

Sikutaka kujihusisha na Masuala ya POPULATION niliamua kutoa MATHEMATICALLY-NEUTRAL... I select number 3 yaani Mkristo Mpagani na Mwislamu...

Lakini wewe bado upo kwenye Mashindano kweli tutafika???

Ok tupo pamoja mkuu
 
Je wameelezwa kwa nini Tanzania inataka kushambuliwa? maana makundi ya kigaidi hayashambulii tu bila ya sababu
USIJIFANYE HUJUI SABABU. pALIPO NA WAKRISTO NDIPO MAGAIDI HUPENDA KUWAUWA.
 
al shabab waanzie zanzibar wakija tanzania! kule ndio kuna haswaaaaaa maadui zao! rubbish!
 
Ndipo mtakapojua kuwa zile sababu za Kenya kupeleka majeshi Somalia zilikuwa abrakadabra tu
CC Mjuni Lwambo !!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Obama kila siku anawapa misifa kibao, nyie ni marafiki wa Obama, obama ni mmarekani, marekani ni adui wa al quaeda, so na nyie ni maadui wao in default
 
labda ni kwa sababu rais wa somali kila kukicha anakuja hapa dar ikulu kwa kikwete sijui hata wanaongeaga nini... chonde chonde kikwete stay out na hawa watu wazungu wenyewe na uwezo wao na high tech ktk majeshoi yao wanapata nao tabnu ndo tutawaweza sisi, wakenya ingawa wanashambuliwa wanafaidika kiuchumi maana wanauza bidhaa kule na wanacontrol means za uchumi kama bandari ya kismayo sasa sie tunaweza dugwa wakat hatupati faida yoyote and i hope hawa jamaa hawajaickia ile kauli ya kikwete kwa uhuru kenyata kua tz tutawasaidia kenya kwa hali na mali kupambana na ugaidi!!!
 
Mnaacha kuijadili mada mnaleta mambo yenu ya udini Kenge nyie huku mtaani mbona watu tunaishi kwa Amani tu na hakuna hizo mambo za kunyoosheana vidole?
 
tupigwe tu.....maisha yenyewe haya ya waziri mkuu kulipwa mil 26 kwa mwezi wakati walimu wakilipwa laki2 bora mtupige tena mharakishe!
 
Hapa tz ukipita utakutana na WATU 3 na waislamu 2.........Siku hizi muislamu hahesabiki km mtu. Ni mnyama tena wa mwitu

kaka unakosea, watu wachache kutumia dini kwa sababu zao binafsi haisababishi dini nzima kulaumiwa.

Waislamu ni watu peaceful sana, na tumeishi kwa umoja miaka mingi tu.

ila sasa hivi kuna watu wana motives zao binafsi, wapo tayari kumwaga damu na kutumia dini kama kisingizio ili tu wapate wanachokitaka.

sio kila mtu huko nje ya nchi anapenda jinsi watanzania tunavyoishi kwa amani na umoja bila kubaguana kidini.

badilisha fikra zako... binadamu walikuwepo kabla ya dini.
 
Maswala na topic muhimu hebu tuache kuongea mtc,tanzania ni yetu na huu ndio uwanja wa kufahamu yasiofahamika..msameheane bure
 
Back
Top Bottom