Msome kimsboy hapo juu.Una maoni gani kuhusu alivyochangia mkuu?Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.
Waahenz hao nani asiyetenda dhambi dunia hii mpaka amhukumu mwenzzie?? Wanajifanya kupinga sana uzinzi wakati ni wafiraji wakubwa!Msome kimsboy hapo juu.Una maoni gani kuhusu alivyochangia mkuu?
kimsboy naona anajibu kwa hisia zake binafsi zaidi na sio kwa uhalisia wa ujumla wa mada husika.Msome kimsboy hapo juu.Una maoni gani kuhusu alivyochangia mkuu?
Allah akuongoze katika haqq ni wachache sana wenye uelewa kama wako, umeandika kwa usahihi kabisaaaa nitamalizia kwa misemo miwili ya Waja wema wa kwanza ina imam shafii RahimahuLlaah alisema muamini allah tabaraka halafu kua na msimamo wa kule unachokiamini usiyumbe, wapili ni swahaba Ali bin abdultwalib alisema ukitaka kujua kundi gani lipo sawa basi angalieni mishale ya maadui inaelekea kwa wingi wapi. Allahmdulilah na leo twaona mataifa yamekusanyana kuizima nuru ya uislamu ila waislam wamelala hawajitambui kabisa sasa hao mashabab wametoka kuinusuru dini.Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.
Una akili sn ww kaka sipendi nikuitee mkuu maana mkuu ni allah tuu, na historia juu ya wanamgambo hao ni kubwa sn ila imefichwa ndo maana mashabab walipochukua umiliki wa nchi mwaka 2012 ndege ya kwanza kabisa ilitua Mogadishu raia wa kwanza kugusa ardhi ya somali alisujudu sijida ya kushukuru na kusema hakika leo tumepata wakombozi ambao ni al shabab na maisha kwenye utawala huo yalikuwa mazuri sn kenya walipoona biashara zao za kuwauzia wasomali mirungi imekwama wakaamua kuanzisha vita kujifanya wanaenda kuwaokoa watalii waliotekwa, waliingia kwenye vita huku hawajui maana ya vita leo wanajuta wanatamani warudi nyumbani ila wanaona aibukimsboy naona anajibu kwa hisia zake binafsi zaidi na sio kwa uhalisia wa ujumla wa mada husika.
Ni kwamba amekosea.
Kinadhalia hii hali inatokana na msuguano wa kitamaduni.
Al-Shababu ni Jamii yenye kufuata taratibu fulani za maisha yanayo wapendeza wao wenyewe.
Hivyo ni haki yao ya msingi kabisa ya kila jamii kuthamini utamaduni wao wa maisha.
Sasa inapotokea kuingiliwa na taratibu za jamii nyingine, ni lazima kuwe na uhiari wa makubalino kati ya pande mbili zinazokutana.
Kama ni kila jamii ifuate taratibu zake za kimaisha au kuwa na mwingiliano katika taratibu fulani kati yao.
Inapotokea jamii moja kuilazimisha jamii nyingine kiuufuata utamaduni mwingine kwakuwa tu jamii hiyo ina nguvu au uungwaji mkono kwa uwingi, basi hapo mgogoro unaanza kutokea.
Na madhara ya mgogoro wa aina hii matokeo yake ndio haya tunayoyaona yakifanyika na wanamgambo wa Al-Shabaab, Al-Qaida nk.
Ukiwaangalia Al-Shabaab wakiwa katika jamii yao unawaona hawana madhara Kabisa. Wanashirikiana na Jamii yao kujenga uchumi bila shida yoyote ile.
Hapo ndipo linapokuja Somo la
" Umuhimu wa Kuheshimu Tamaduni za Wengine "
Ni Somo refu kidogo, mtu anaweza kuanza na maandishi ya msomi mmoja namkumbuka kwa jina moja tu, anaitwa ndugu, Huntington.
Katika kitabu chake kinachoitwa
" The Clash of Civilization "
Kwako kokontiko
Sasa kama wanaheshimu taratibu na sharia za kwao si wafanye hayo kwenye jamii zao kwenda kuua watu wengine wasio na hatia mfano westgate kenya na sehemu zingine ni kwamba allah anakuwa amewatuma au niaje??kimsboy naona anajibu kwa hisia zake binafsi zaidi na sio kwa uhalisia wa ujumla wa mada husika.
Ni kwamba amekosea.
Kinadhalia hii hali inatokana na msuguano wa kitamaduni.
Al-Shababu ni Jamii yenye kufuata taratibu fulani za maisha yanayo wapendeza wao wenyewe.
Hivyo ni haki yao ya msingi kabisa ya kila jamii kuthamini utamaduni wao wa maisha.
Sasa inapotokea kuingiliwa na taratibu za jamii nyingine, ni lazima kuwe na uhiari wa makubalino kati ya pande mbili zinazokutana.
Kama ni kila jamii ifuate taratibu zake za kimaisha au kuwa na mwingiliano katika taratibu fulani kati yao.
Inapotokea jamii moja kuilazimisha jamii nyingine kiuufuata utamaduni mwingine kwakuwa tu jamii hiyo ina nguvu au uungwaji mkono kwa uwingi, basi hapo mgogoro unaanza kutokea.
Na madhara ya mgogoro wa aina hii matokeo yake ndio haya tunayoyaona yakifanyika na wanamgambo wa Al-Shabaab, Al-Qaida nk.
Ukiwaangalia Al-Shabaab wakiwa katika jamii yao unawaona hawana madhara Kabisa. Wanashirikiana na Jamii yao kujenga uchumi bila shida yoyote ile.
Hapo ndipo linapokuja Somo la
" Umuhimu wa Kuheshimu Tamaduni za Wengine "
Ni Somo refu kidogo, mtu anaweza kuanza na maandishi ya msomi mmoja namkumbuka kwa jina moja tu, anaitwa ndugu, Huntington.
Katika kitabu chake kinachoitwa
" The Clash of Civilization "
Kwako kokontiko
Ni Sawa tu, rommy shabby,Allah akuongoze katika haqq ni wachache sana wenye uelewa kama wako, umeandika kwa usahihi kabisaaaa nitamalizia kwa misemo miwili ya Waja wema wa kwanza ina imam shafii RahimahuLlaah alisema muamini allah tabaraka halafu kua na msimamo wa kule unachokiamini usiyumbe, wapili ni swahaba Ali bin abdultwalib alisema ukitaka kujua kundi gani lipo sawa basi angalieni mishale ya maadui inaelekea kwa wingi wapi. Allahmdulilah na leo twaona mataifa yamekusanyana kuizima nuru ya uislamu ila waislam wamelala hawajitambui kabisa sasa hao mashabab wametoka kuinusuru dini.
Ni Sawa tu, rommy shabby,
Hapo nimeandika Kama Msomi, mtu aliyeelimika huwa haegamii upande fulani katika kuchambua mambo.
Ingawa mimi mwenyewe ni Mkristo Lialia, ila inapokuja hoja ya Kishuleshuke huwa naachaga hisia zangu pembeni na kusimamia haki katika mada husika.
Somo la Filosofia ndivyo linavyotaka.
Kusimama katika Kweli.
( Ila kwenye majukwa ya ubishani huwa nawaponda sana hao Vijana Mashujaa yaani, Al-Shabaab pamoja na Dini yao ya Kiislamu )
Hapo nakuwa mbinafsi zaidi, tusameheane tu, ndivyo binadamu tulivyo.
Msikilize huyo kiongozi wa. Al-Shabaab anavyo zungumza, kwamba Kenya ndio walioanza kuwavamia na kuwafanyia uhalifu na waliwaua raia wa Somalia wasio na hatia, hivyo nao wanalipa kisasi.Sasa kama wanaheshimu taratibu na sharia za kwao si wafanye hayo kwenye jamii zao kwenda kuua watu wengine wasio na hatia mfano westgate kenya na sehemu zingine ni kwamba allah anakuwa amewatuma au niaje??
Na mimi pia, nina Upendo mwingi juu yako.Nimekupenda sn
Na mimi pia, nina Upendo mwingi juu yako.
Kiasili hakuna binadamu muovu,
Shida inaanza kutokea kama binadamu huyo hasikilizwi shida au malalamiko yake.
Hapo ndipo mgogoro unapoanza kuchemka.
Uko sahihi sana,Una akili sn ww kaka sipendi nikuitee mkuu maana mkuu ni allah tuu, na historia juu ya wanamgambo hao ni kubwa sn ila imefichwa ndo maana mashabab walipochukua umiliki wa nchi mwaka 2012 ndege ya kwanza kabisa ilitua Mogadishu raia wa kwanza kugusa ardhi ya somali alisujudu sijida ya kushukuru na kusema hakika leo tumepata wakombozi ambao ni al shabab na maisha kwenye utawala huo yalikuwa mazuri sn kenya walipoona biashara zao za kuwauzia wasomali mirungi imekwama wakaamua kuanzisha vita kujifanya wanaenda kuwaokoa watalii waliotekwa, waliingia kwenye vita huku hawajui maana ya vita leo wanajuta wanatamani warudi nyumbani ila wanaona aibu
Acha uongo wewe, hauna ukristo wowote moyoni mwako.Ni Sawa tu, rommy shabby,
Hapo nimeandika Kama Msomi, mtu aliyeelimika huwa haegamii upande fulani katika kuchambua mambo.
Ingawa mimi mwenyewe ni Mkristo Lialia, ila inapokuja hoja ya Kishuleshuke huwa naachaga hisia zangu pembeni na kusimamia haki katika mada husika.
Somo la Filosofia ndivyo linavyotaka.
Kusimama katika Kweli.
( Ila kwenye majukwa ya ubishani huwa nawaponda sana hao Vijana Mashujaa yaani, Al-Shabaab pamoja na Dini yao ya Kiislamu )
Hapo nakuwa mbinafsi zaidi, tusameheane tu, ndivyo binadamu tulivyo.
Tembelea Jukwaa la Jamii Intelligent utanikuta.Acha uongo wewe, hauna ukristo wowote moyoni mwako.
Wewe ni muislam kindakindaki sijui kwa nini unaona aibu kujinasibisha na imani yako mpaka ujisingizie katika imani ya kristo mtakatifu.
Sio alqaida peke yake.Tembelea Jukwaa la Jamii Intelligent utanikuta.
Toka jana nachangia mada inayosema.
" Wakatoriki ni nini hii ? "
Soma na mada nyingine huko utaniona tu.
Ni Jukwaa ninalolipenda sana.
[emoji117]Nimesema hapo kuwa, hii mada nimeiandika sio kwa ubinafsi wangu bali ki uchambuzi wa Kisomi.
Kwanza wewe sikuoni kwenye majukwaa ya Dini.
Huko sisi wenyewe tunajuana kuna akina Masudi mushahala, huko wataalamu wa mambo ya imani.
Hivi unajua kuwa Marekani ndio waanzilishi wa Al-Qaeda ?
Na huyo Osama Bin Laden alipata mafunzo ya ujasusi huko Marekani ?
Soma Kijana.
Jidanganye..Kama ilivyo kwa Isis, alnusrah ,alshabab na Alqaedah hao wote Ni Western paid mercenaries..wapo na wanafadhiliwa silaha na Western nation's..kwa mfano have magaidi kama isis wanawezaje kupata gari Kama Ford( American made) ambazo hizo zimezuiliwa kuuzwa katika nchi Kama Iran, Syria. Wanapataje silaha Kama tow anti tank missile.? Zote American made)Allah akuongoze katika haqq ni wachache sana wenye uelewa kama wako, umeandika kwa usahihi kabisaaaa nitamalizia kwa misemo miwili ya Waja wema wa kwanza ina imam shafii RahimahuLlaah alisema muamini allah tabaraka halafu kua na msimamo wa kule unachokiamini usiyumbe, wapili ni swahaba Ali bin abdultwalib alisema ukitaka kujua kundi gani lipo sawa basi angalieni mishale ya maadui inaelekea kwa wingi wapi. Allahmdulilah na leo twaona mataifa yamekusanyana kuizima nuru ya uislamu ila waislam wamelala hawajitambui kabisa sasa hao mashabab wametoka kuinusuru dini.
Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.