Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

Eti, mtu ameona video mmoja ya kipropoganda na anajitokeza kusema hawa magaidi wako sawa!

Al Shabab ni off-shoot ya Al-Qaeda, kama ilivyo Daesh (Islamic State), Boko Haram n.k. na makundi mengine ya kigaidi. Kinacho waunganisha hao wote ni mlengo yao ya Kiwahabbi yenye msimamo mkali - wameshikilia neno ya mstari ya msahafu na sio nia iliomo kwenye mstari! Quran imetamka wazi kuwa "La Ikraa fi Deen" - Hamna kulazimisha kwenye dini , lakini makundi hayo yanawalizimisha watu kufuata itikadi zao yaliyojaa umwagaji damu! Wanalipua mabomu kwenye makusanyiko ya watu na kusababisha vifo ya watu wasio na hatia! Waislamu wengi wameuliwa na mabomu ya magaidi wakiwa msikitini wakisali sala ya Ijumaa! [na huku kwenye video wanahamasisha watu wasali!!!!!]

Uhalisia ya maisha kwenye sehemu wanazotawala ni watu kuishi na hofu. Daesh pia walitoa video nyingi za kipropoganda - hospitali na huduma ya kijamii, lakini leo wafuasi wake wakiwa kambini kule Syria wanasema ilikuwa ni uzushi tu! Njaa, shida na magonjwa yalitawala! Somalia haina kitu ambayo ifanye mabeberu waingilie. Tatizo yao ni chuki za kikabila - clan warfare, iliyosababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe! Wasomali ni waislamu safi na wameshikilia uislamu hata kabla ya Al Shabab. Sasa kwenye hii nchi ya kiislamu Al Shabab inapigania nini? Lengo lao ni kupata mamlaka tu ambayo wataitumia vibaya!
Al-Shabaab ni mwanafunzi wa Al-Qaeda.
Wanapigana nia yao kuanzisha utawala utakaofuata misingi ya Kiislamu yaani Sharia, ikiwezekana dunia nzima iwe chini ya Sharia.
Al-Qaeda waliwahi kuitawala Afghanistan na waliweka miongozo ya Sharia, na maisha yalikuwa yanakwenda kama kawaida.
Ndio maana nimeandika hao ni Waisilamu wenye msimamo mkali, na katu hawataki kuchamganyika na watu wasiofuata Sharia.
Ukiangalia mchamgo wangu wa kwanza nimesema wazi Kabisa kuwa wao wanapenda Jamii yote ifuate Sharia na hawataki jambo jingine.
Ndio maana hawajawahi kufanya fujo katika nchi ya Irani kwakuwa ni nchi inayofuata Sharia.
Waislamu wanaoshambuliwa ni Wale ambao hawa fuati miongozo ya Sharia, kwani kwao wanaonekana kama Wasaliti wa Dini ya Kiislamu.
Utambue kuwa Uislamu sio dini pekee, hapo haujakamilika.
Uislamu ni Dola kamili yenye mamlaka ya kutawala watu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Uislamu hauitambui Katiba ya nchi bali unaitambua Qurani na Sunna za mtume TU.
Uislamu ni lazima uambatane na utekelezaji wa Sharia ndio maana Waislamu wanadai Mahakama ya Kadhi, kama utimilifu wa imani yao.
Hivyo kwa mujibu wa Al-Shabaab Tanzania hakuna Uislamu na Waislamu kamili, kwani wanafuata Katiba iliyotungwa na binadamu badala ya Sharia iliyoagizwa na Mungu yaani Allah.

(tuendelee kuchangia kwa nia ya kuelimishana)
 
Jidanganye..Kama ilivyo kwa Isis, alnusrah ,alshabab na Alqaedah hao wote Ni Western paid mercenaries..wapo na wanafadhiliwa silaha na Western nation's..kwa mfano have magaidi kama isis wanawezaje kupata gari Kama Ford( American made) ambazo hizo zimezuiliwa kuuzwa katika nchi Kama Iran, Syria. Wanapataje silaha Kama tow anti tank missile.? Zote American made)
Juzi aliongea Al Baghdad kuhusu kulipiza kisasi..analipiza kisasi hata kwa watoto wa chini ya miaka 5-10..
Afu Leo unafanya ushabiki.
Abubakri Al Baghdad mwenyewe Ni myahudi kwa jina la Siri "Elion"(revealed).
hivi kwa Hali ya kawaida myahudi ama mmarekani mkiristo anaweza kuwachangia waislam kujenga dini yenu?
Je yeye ( USA, Israel na Western Europe) wanafaidika na nin kufadhili haya yotr ya ugaidi? Ni swali..
Tatizo ni maslahi ya Kisiasa na Kiuchumi ndio yanayotiliwa msisitizi na Nchi kama ya Marekani.
Marekani hawahangaiki na Maslahi ya Kijamii yaani Jamii isiyo ya Kimarekani.
Mfano.
Miaka ya Sitini huko nyuma, Marekani iliwapa mafunzo ya kijeshi hawa Al-Qaeda (ingawa hapo awali walikuwa hawajiiti hivyo)
Ili kumsaidia Marekani Kumdhohofisha Urusi katika maeneo ya (STAN) yaani Afghanistan, Pakistan, Uzbekistan, Tajikistan nk.
Wakapewa Silaha za kisasa na mafunzo yote muhimu.
Baada ya kuwaondoa Warusi katika maeneo hayo, Marekani ikakitelekeza hicho kikundi, na silaha zake.
Maslahi ya Marekani ya Kisiasa na Kiuchumi yalisha timia.
Hao Vijana mashababi wakakusanya nguvu zao wakaipindua Serikali ya Afghanistan na wakatawala kwa muda mrefu hadi Kiongozi wao Osama bin Laden aliposhambulia September 11.
Ndipo Vita ikaibuka iliyowaondoa madarakani hao Al-Qaeda.
Ni kwamba walikuwa wanajuana toka zamani.
Na haikuhitaji nguvu kubwa kujua nani kashambulia
September 11
Hakuna ushirika wa kudumu kwenye Siasa za Marekani, kinachoangaliwa ni Maslahi ya Kisiasa na Kiuchumi tu.
Hakuna Rafiki au Adui wa Kudumu.
 
Tatizo ni maslahi ya Kisiasa na Kiuchumi ndio yanayotiliwa msisitizi na Nchi kama ya Marekani.
Marekani hawahangaiki na Maslahi ya Kijamii yaani Jamii isiyo ya Kimarekani.
Mfano.
Miaka ya Sitini huko nyuma, Marekani iliwapa mafunzo ya kijeshi hawa Al-Qaeda (ingawa hapo awali walikuwa hawajiiti hivyo)
Ili kumsaidia Marekani Kumdhohofisha Urusi katika maeneo ya (STAN) yaani Afghanistan, Pakistan, Uzbekistan, Tajikistan nk.
Wakapewa Silaha za kisasa na mafunzo yote muhimu.
Baada ya kuwaondoa Warusi katika maeneo hayo, Marekani ikakitelekeza hicho kikundi, na silaha zake.
Maslahi ya Marekani ya Kisiasa na Kiuchumi yalisha timia.
Hao Vijana mashababi wakakusanya nguvu zao wakaipindua Serikali ya Afghanistan na wakatawala kwa muda mrefu hadi Kiongozi wao Osama bin Laden aliposhambulia September 11.
Ndipo Vita ikaibuka iliyowaondoa madarakani hao Al-Qaeda.
Ni kwamba walikuwa wanajuana toka zamani.
Na haikuhitaji nguvu kubwa kujua nani kashambulia
September 11
Hakuna ushirika wa kudumu kwenye Siasa za Marekani, kinachoangaliwa ni Maslahi ya Kisiasa na Kiuchumi tu.
Hakuna Rafiki au Adui wa Kudumu.
Sawa kabisa br..wasoelewa ndo kwanza wanaamini kwamba isis, Alqaedah Boko Haram wanatetea uislam.hua nawapa pole
 
Umenifurahisha kaka
Al-Shabaab ni mwanafunzi wa Al-Qaeda.
Wanapigana nia yao kuanzisha utawala utakaofuata misingi ya Kiislamu yaani Sharia, ikiwezekana dunia nzima iwe chini ya Sharia.
Al-Qaeda waliwahi kuitawala Afghanistan na waliweka miongozo ya Sharia, na maisha yalikuwa yanakwenda kama kawaida.
Ndio maana nimeandika hao ni Waisilamu wenye msimamo mkali, na katu hawataki kuchamganyika na watu wasiofuata Sharia.
Ukiangalia mchamgo wangu wa kwanza nimesema wazi Kabisa kuwa wao wanapenda Jamii yote ifuate Sharia na hawataki jambo jingine.
Ndio maana hawajawahi kufanya fujo katika nchi ya Irani kwakuwa ni nchi inayofuata Sharia.
Waislamu wanaoshambuliwa ni Wale ambao hawa fuati miongozo ya Sharia, kwani kwao wanaonekana kama Wasaliti wa Dini ya Kiislamu.
Utambue kuwa Uislamu sio dini pekee, hapo haujakamilika.
Uislamu ni Dola kamili yenye mamlaka ya kutawala watu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Uislamu hauitambui Katiba ya nchi bali unaitambua Qurani na Sunna za mtume TU.
Uislamu ni lazima uambatane na utekelezaji wa Sharia ndio maana Waislamu wanadai Mahakama ya Kadhi, kama utimilifu wa imani yao.
Hivyo kwa mujibu wa Al-Shabaab Tanzania hakuna Uislamu na Waislamu kamili, kwani wanafuata Katiba iliyotungwa na binadamu badala ya Sharia iliyoagizwa na Mungu yaani Allah.

(tuendelee kuchangia kwa nia ya kuelimishana)
 
HISTORIA FUPI YA ABU MUSAB AL ZARQAWI ( RAH ) :

Wengi katika sisi tuliambiwa au tunaendelea kunaambiwa kwamba IS imeundwa na CIA , MOSSAD , N.K , lakini ukweli ni kwamba aliyeiunda IS ni SHEKHE OSAMA BIN LADEN ( RAHIMAHULLAH ) . Na aliyekuwa Kiongozi wa kwanza wa IS alikuwa anaitwa SHEKHE AHMAD FADEEL AL- NAZAL AL-KHALAYLEH kwa Jina Maarufu “ ABU MUSAB AL ZARQAWI ” ( RAHIMAHULLAH ) . Huyu Al Zarqawi anatokana na Mabedui kwenye Kijiji cha Zarqa Nchini Jordan , na huyu ndiye aliyekuwa Amiri wa kwanza na Kundi hilo la IS lilikuwa likiitwa TANZIM QAIDAT AL-JIHAD FIY BILAD AL- RAFIDAYN kwa kifupi unaweza ukasema “ AL QAIDA YA KWENYE NCHI YENYE MITO 2 ” ( IRAQ ) . Nifuate vizuri ili upate kujua vipi Al Zarqawi alipewa Kundi hilo la Tanzim Qaidat Al-Jihad Fi Bilad Al- Rafidayn .
 
KUINGIA KWA AL ZARQAWI KATIKA ARDHI YA AFGHANISTAN NA KUANZISHWA KWA KUNDI LA TANZIM QAIDAT AL-JIHAD FIY BILAD AL- RAFIDAYN NA OSAMA BIN LADEN ( RAH ) :

Mnamo Mwaka wa 1999 Shekhe Al Zarqawi ( Rahimahullah ) alisafiri kwenda Nchini Afghanistan ili kupata Mafunzo ya Jihad , kwani kipindi hicho Afghanistan ndio ilikuwa Nchi pekee ya Kujifunza Jihad na pia ilikuwa ni DARU AL ISLAM ( Mji wa Kiislamu ) . Alipofika Afghanistan na kumaliza Mazoezi ya Kijeshi , ndipo Shekhe Osama Alimpa Al Zarqawi kiasi cha Dola za Kimarekani 40,000 na akapewa pia Vijana waliofuzu Mafunzo ya Kijeshi wapatao 3000 na kuanza Kundi hilo la Tanzim Qaidat Al-Jihad Fi Bilad Al- Rafidayn , na alipewa Uwanja katika moja ya Viwanja vya Kandahari Nchini Afghanistan .

KUSHAMBULIWA KWA TALEBAN NA AMERIKA NA KUIBUKA KWA MAKUNDI YA JIHAD KUTOKA AFGHANISTAN :

Kipindi Marekani alipoishambulia Kijeshi Nchi ya Afghanistan Mwaka 2001 kuwashambulia Mujahidina wa Taliban , Mujahidina wengi sana waliuliwa katika Mashambulizi hayo . Ndipo Mujahidina wengi walipojisambaratisha na kwenda kuunda Jihad katika Nchi zao . Na katika Makundi hayo , yaliundwa Makundi ya AL QAIDA ARABIAN PENENSULA ( AQAP ) , na TAHRIIQ E TALIBAN PAKISTAN ( TTP ) , na hapo ndipo Al zarqawi Alipoondoka kutoka katika Ardhi ya Afghanistan akiwa na Jeshi la Wapiganaji 300 pekee baada y ya wengine kuuliwa na Ndege za Manguruwe ya Amerika
 
KUINGIA KWA AL ZARQAWI KATIKA ARDHI YA IRAQ :

Mnamo Mwaka wa 2001 Mwezi wa 12 Shekhe Abu Musab Al Zarqawi aliiacha Ardhi ya Afghanistan na kufanya Hijrah akiwa na wafuasi 300 baada ya kuyakimbia Mashambulizi ya Ndege za Manguruwe ya Amerika , na Nchi ya kwanza kuikanyaga baada ya kutoka Afghanistan ilikuwa ni Nchi ya Iran katika maeneo yaliyo karibu na Mashariki mwa Afghanistan . Baada ya hapo aliingia Syria , Lebanon , Jordan , mpaka kwenye Mkoa uliopo Kaskazini mwa Nchi ya Iraq ambao ni Mkoa wa Kurdistan ( Wafursi ) na na alifika katika Mikoa ya Kusini mwa Nchi ya Iraq Ya wa Sunni ambayo ni Mikoa ya ( Tikrit , Samara , Balad , At Taji , Ar Ramadi , Al Habaniah , Falujah na Baghdad ) Miji yote hiyo alifika . Na katika Nchi za Jordan , Lebanon na Syria alifika huko kwa Lengo la kukusanya Nguvu za Kijeshi na Fedha na kutafuta Ushirikiano wa Waislamu , na Lengo lake halikuwa kukomea Iraq , bali Lengo lake lilikuwa kwenda Kuing’owa Serikali Dhalimu ya Nchi ya Lebanon kisha aingie Filistini ( Palestina ) . Kweli alifaanikiwa kupata misada kutoka kwa Waislamu wengi , na Kundi la Ansar Al Islam ( Wasaidizi Wa Uislamu ) walimpa Msaada wa kutosha na kuungana naye kwa Ushirikiano Mkubwa Sana .

KUVAMIWA NCHI YA IRAQ NA KUSHAMIRI KWA JIHAD CHINI YA AL ZARQAWI :

Na kipindi cha Miaka ya 2001-2002 , Ndipo Amerika aliingia Iraq kwenda Kumshambulia Sadam Hussein kwa kisingizio cha MASS WEAPON ( SILAHA ZA MAANGAMIZI ) , ila kiukweli Lengo la Amerika lilikuwa Kuiba MAFUTA na kumsaka Abu Musab Al Zarqawi na Kundi lake ambao walikimbia Afghanistan . Hapo ndipo Shekhe Al Zarqawi ( Rahimahullah ) alipositisha Msafara wake wa kwenda Lebanon na kuanza Kuwindana na Amerika , Nchini Iraq . Na kipindi hicho cha Mwaka wa 2003 alipoingia Amerika Nchini Iraq kumuondoa Sadam Husein ili apate Kuiba Mafuta vizurib, ndipo Kundi hilo la “ Tanzim Qaidat Fiy Bilad Al Rafidaiyn ” lilikuwa limeshaanza kukuwa na kupata Nguvu kiasi ambacho kulimfanya Amerika kukosa Raha ya kukaa Iraq .

Na Amerika alipofika Iraq aliuchukuwa Utawala na kuwapa Mashia wa Iran na walishirikiana pamoja katika Kuiba Mali ya Iraq huku wakiidhalilisha Jamii ya Waislamu hususani Wasunni , walikuwa wakiwabaka Wamama wa Kiislamu , Mabinti hadi Vikongwe yaani ilikuwa ni Dhulma juu ya Dhulma dhidi ya Wasunni ( Waislamu ) . Ila Palikuwepo Neema Kidogo iliyokuwa imeshaanza kukua , nayo ndilo hilo Jeshi la Allah lililokuwa likiongozwa na Shekhe Al Zarqawi , na katika Mji wa FALLUJAH ndipo yalipokuwa Makao Makuu ya Kundi hilo la ” Tanzim Qaidat fiy Bilad Al Rafidiyn “.

Na Shekhe aliwasumbua sana Majeshi ya Kitwaghuti , kila alipokuwa akiwashika basi Panga ndilo lilikuwa linaongea . Shekhe huyu alikuwa haongei na Twaghuti yeyote wa Kishia pamoja na Amerika mara mbili bali Upanga aliutumikisha sana kwa Kuongea na Matwaghuti. Ndipo Amerika akatowa zawadi nono ya Pesa nyingi sana kwa Mtu yeyote atakaye Mkamata Shekhe huyu . Twaghuti za Kirafidiyn ( Laanatullah ) zilimtafuta Shekhe huyu kwa Nguvu zote ili zimpate kama vile mfano wa Maqurayshi walivyokuwa wakimsaka Mtume kwenye Majangwa ya Makka .

Tukumbuke Shekhe Mipango yake ilikuwa si Kusimamisha Jihad Nchini Iraq , bali yeye alikuwa anataka kwenda Lebanon Kuipinduwa Serikali Dhalimu na Kuingia Palestina baada ya kutoka Afghanistan Mwaka 2001 , ila Allah alimkadiria kuishia Iraq baada ya Manguruwe ya Amerika kuingia na kufanya Dhuluma ya hali ya juu . Alhamdulillah Shekhe Abu Musab Al Zarqawi aliweza kuwashawishi Wasunni Wa Iraq kuamka na kuungana Naye ili Kujilinda Dhidi ya Maadui Wavamizi , ila Wasunni wengi walikuwa wamesha zama kwenye SiaWsa za Makafiri za Demokrasia .

Ndipo Amerika alipojitolea mwenyewe kuingia katika Mji wa Falujah baada ya Kumkosa Al zarqawi kwa kuwatumia wale Majasusi ( Spy ) aliowatuma . Alingia Fallujah mzima mzima , na humu Fallujah walikutana na Vijana wa Kisuni waliokuwa na Njaa ya Mwaka na Chakula chao kilikuwa ni damu ya Makafiri . Ilikuwa ni Mwaka wa 2004 , Seifu zilitembea kikamilifu Kuzichonga Shingo za Makafiri , mpaka Shekhe Al zarqawi akashinda Vita hivyo vya Fallujah na Amerika Kuiacha Fallujah . Ndipo Kundi hilo kidogo kidogo likaanza Kupokea Muhajirina kutoka Nchi za Nje ya Iraq .
 
Mkuu, asante! Nimefurahishwa na hii "tuendelee kuchangia kwa nia ya kuelimishana"!

Kwanza, Somalia walikuwa wanafuata Sharia hata kabla ya Al Shabab, na bado wanalipuliwa ovyo na hawa 'vijana washujaa' ulivyosema wewe. Karibu raia wote wa Somalia ni waislamu, hapa kweli kuna haja ya kurushana risasi na mabomu???

"Hawajawahi kufanya fujo katika nchi ya Irani kwakuwa ni nchi inayofuata Sharia" - haina mshiko hata kidogo. Iran ni washia, na wamekufurishwa na makundi zote za kigaidi! Washia wamewekwa sawa na wakristo, na damu yao ni halali kwa magaidi! Majaribio ya kigaidi yamewahi kutokea Iran lakini serikali imefaulu kuyadhibiti!

"Waislamu wanaoshambuliwa ni Wale ambao hawa fuati miongozo ya Sharia, kwani kwao wanaonekana kama Wasaliti wa Dini ya Kiislamu." - hawa waislamu wakishambuliwa kwenye mabar, macasino na kwenye madunguro, pia sidhani ni haki, lakini wanaoshambuliwa ni wale wakiwa kwenye ibada msikitini na wakiwa kwenye kazi halali. Halafu huwezi kumhukumu mtu kwa muonekano tu, wanajionyesha waislamu (ndevu, kanzu na tasbeeh) lakini kihalisia ni mashetani(madawa ya kulevya, pombe na makahaba!)

Sharia ya kiislamu inawahusu waislamu tu, huwezi kulazimisha ikubalike dunia nzima - ndio maana Quran imesema "Lakum Deenokum, Waleyadeen" - Wewe na dini lako, na mimi na dini langu"

Ukiwa Saudi Arabia wakati wa sala, kuna sungusungu ya kidini (ni hawa hawa akina alQaeda) inaitwa mutawwa, wanakulazimisha uende ukasali. Mtu moyoni haoni umuhimu ya sala, lakini kwa hofu ya sungusungu anajikimbiza kusali! Sasa swali langu ni hili, Mungu anapoiona hii ibada ya kulazimishwa ataikubali kweli?? Ibada ya kulazimishwa kamwe haifanani na ile ya hiari, na ndio inayomfurahisha Mungu! Ndio maana waislamu wanafunga Nia kabla ya ibada, bila Nia ibada ni batili!




Al-Shabaab ni mwanafunzi wa Al-Qaeda.
Wanapigana nia yao kuanzisha utawala utakaofuata misingi ya Kiislamu yaani Sharia, ikiwezekana dunia nzima iwe chini ya Sharia.
Al-Qaeda waliwahi kuitawala Afghanistan na waliweka miongozo ya Sharia, na maisha yalikuwa yanakwenda kama kawaida.
Ndio maana nimeandika hao ni Waisilamu wenye msimamo mkali, na katu hawataki kuchamganyika na watu wasiofuata Sharia.
Ukiangalia mchamgo Irani kwakuwa ni nchi inayofuata Sharia.
Waislamu wanaoshambuliwa ni Wale ambao hawa fuati miongozo ya Sharia, kwani kwao wanaonekana kama Wasaliti wa Dini ya Kiislamu.
Utambue kuwa Uislamu sio dini pekee, hapo haujakamilika.
Uislamu ni Dola kamili yenye mamlaka ya kutawala watu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Uislamu hauitambui Katiba ya nchi bali unaitambua Qurani na Sunna za mtume TU.
Uislamu ni lazima uambatane na utekelezaji wa Sharia ndio maana Waislamu wanadai Mahakama ya Kadhi, kama utimilifu wa imani yao.
Hivyo kwa mujibu wa Al-Shabaab Tanzania hakuna Uislamu na Waislamu kamili, kwani wanafuata Katiba iliyotungwa na binadamu badala ya Sharia iliyoagizwa na Mungu yaani Allah.
(tuendelee kuchangia kwa nia ya kuelimishana)
 
Nilisema na nitasema aliyeanzisha al aqida si Osama wala marekani al aqida umeanzishwa na sheikh al zarqh huko afighanstan

We jamaa mtetezi wa magaidi, are you really sane???

Unasema kuwa Al Zarghawi ndio mwanzilishi wa Al Qaeda na ISIS, halafu unaleta maandishi yakisema "Shekhe Al Zarqawi alisafiri kwenda Nchini Afghanistan ili kupata Mafunzo ya Jihad , kwani kipindi hicho Afghanistan ndio ilikuwa Nchi pekee ya Kujifunza Jihad na pia ilikuwa ni DARU AL ISLAM ( Mji wa Kiislamu ) . Alipofika Afghanistan na kumaliza Mazoezi ya Kijeshi , ndipo Shekhe Osama Alimpa Al Zarqawi kiasi cha Dola za Kimarekani 40,000 na akapewa pia Vijana waliofuzu Mafunzo ya Kijeshi wapatao 3000 .

Atakuaje mwanzilishi wakati anamtegemea Bin Laden kwa hali na mali??? Ukweli ni alijiunga na Al Qaeda baadaye na alikorofishana na Bin Laden kwa tabia yake ya kuwalipua waislamu ovyo kule Iraq!
 
We jamaa mtetezi wa magaidi, are you really sane???

Unasema kuwa Al Zarghawi ndio mwanzilishi wa Al Qaeda na ISIS, halafu unaleta maandishi yakisema "Shekhe Al Zarqawi alisafiri kwenda Nchini Afghanistan ili kupata Mafunzo ya Jihad , kwani kipindi hicho Afghanistan ndio ilikuwa Nchi pekee ya Kujifunza Jihad na pia ilikuwa ni DARU AL ISLAM ( Mji wa Kiislamu ) . Alipofika Afghanistan na kumaliza Mazoezi ya Kijeshi , ndipo Shekhe Osama Alimpa Al Zarqawi kiasi cha Dola za Kimarekani 40,000 na akapewa pia Vijana waliofuzu Mafunzo ya Kijeshi wapatao 3000 .

Atakuaje mwanzilishi wakati anamtegemea Bin Laden kwa hali na mali??? Ukweli ni alijiunga na Al Qaeda baadaye na alikorofishana na Bin Laden kwa tabia yake ya kuwalipua waislamu ovyo kule Iraq!
Wote hao kuanzia Binladen, Alzarqawi pamoja na huyo Albaghdadi ni vibaraka wa Marekani na wapo kwenye payroll ya CIA.
 
Let put it like this in portions

HISTORY OF AL-SHABAAB AL-MUJAHIDEEN

IDEOLOGY
Salafi jihadism
Wahhabism
Islamism
Anti-Zionism
Antisemitism
Al shabaab log.png


Harakat al-Shabaab al-Mujahideen (HSM; Arabic: حركة الشباب المجاهدين‎, Ḥarakat ash-Shabāb al-Mujāhidīn; Somali: Xarakada Mujaahidiinta Alshabaab, lit. "Mujaheedin Youth Movement" or "Movement of StrivingYouth"), more commonly known as al-Shabaab (/ælʃəˈbɑːb/; Arabic: الشباب‎, Lit '"The Youth" or "The Youngsters", but can be translated as "The Guys"'), is a jihadist fundamentalist group based in East Africa. In 2012, it pledged allegiance to the militant islamist organization Al-Qaeda In February 2012, some of the group's leaders quarreled with Al-Qaeda over the union, and quickly lost ground Al-Shabaab's troop strength was estimated at 7,000 to 9,000 militants in 2014.[6] As of 2015, the group has retreated from the major cities, however al-Shabaab still controls rural parts of southern Somalia.

Al-Shabaab began as the armed wing of the Islamic Courts Union (ICU), which later splintered into several smaller factions after its defeat in 2006 by Somalia's Transitional Federal Government (TFG) and the TFG's Ethiopian military allies. The group describes itself as waging jihad against "enemies of Islam", and is engaged in combat against the Federal Government of Somalia and the African Union Mission to Somalia (AMISOM). Al-Shabaab has been designated as a terrorist organization by Australia, Canada, the United Arab Emirates, the United Kingdom and the United States. As of June 2012, the US State Department has open bounties on several of the group's senior commanders

In early August 2011, the Transitional Federal Government's troops and their AMISOM allies managed to capture all of Mogadishu from the al-Shabaab militants an ideological rift within the group's leadership also emerged, and several of the organization's senior commanders were assassinated due to its Wahhabi roots, al-Shabaab is hostile to Sufi traditions ]and has often clashed with the militant Sufi group Ahlu Sunna Aljmaa’t The group has also been suspected of having links with Al-Qaeda in Islamic Maghreb and Boko Haram. It attracted some members from western countries, including Samantha Lewthwaite and Abu-Mansoor Al-Amrik.

In August 2014, the Somali government-led Operation Indian Ocean was launched to clean up the remaining insurgent-held pockets in the countryside. On 1 September 2014, a US drone strike carried out as part of the broader mission killed al-Shabaab leader Ahmed Abdi Godane, also known as Mukhtar Abu Zubair. U.S. authorities hailed the raid as a major symbolic and operational loss for al-Shabaab, and the Somali government offered a 45-day amnesty to all moderate members of the militant group. The group remains nonetheless strong and active, and has been responsible for exceptionally deadly terrorist attacks such as the Westgate shopping mall attack and the 14 October Mogadishu bombings and 2019, Garissa attacks and Dusit City upscale hotel and office complex in Westland, Nairobi.

CONTINUES
 
Back
Top Bottom