Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

Duh!
 
Acha Upuuzi Chief
 
Ulichofanya hapa ni sawa muislamu kusema Al-shabaab sio waislamu kisa wanafanya ugaidi,umetoa jibu jepesi tu kuwa sababu hilo wamenyeshwa "jik" basi sio kanisa la kikristo na hivyo sio wakristo.
 
Che mittoga karibu sn kwenye uislamu maana unaelezea vzr mno ww ata khilafa ikisimama utaishi vzr maana unaelewa vzr sn . katika dola ya uislamu kipindi cha mtume walikuwepo watu ambao si waislam na waliishi vzr na waislam kwa kua walikuwa wanajielewa hao waliitwa dhimmi
 
Chizi wewe ...utawalazimisha vipi watu kuwa na imani sawa na yako ..ilhali kwamba suala la imani lina depends na hiyari ya mtu binafsi .... kwanini umuamuru mtu kumuabudu mungu na mtume ambaye yeye utashi wake una muambia kwamba hastahiki kuviabudu ... kwanini umlazimishe mtu kuchagua kwenda peponi kama wewe ambavyo unavyo amini ...wakati imani yake yeye ina muambia kuwa haitaji kwenda kwenye hiyo pepo ambayo unataka kwenda wewe .....huwenda ikawa imani yake aliyo nayo ina amini kwamba kuna pepo nyingine bora na salama kuliko ile ambayo unayo iamini wewe .....lakini hata kama imani yake haipo sahihi ikitokea akaenda huko motoni wewe kinachokuuma ni nini wakati mwili na energy ni vyake so hata hauwezi ku-share nae feeling za maumivu ya moto ambayo atakuwa ana yapata wakati wa kuchomwa .....

Kwanini mnataka kulazimisha jamii ambayo itakuwa na mtazamo sawa kiimani duniani ...wakati falsafa ya maisha ili dunia iweze kuendelea inahitaji jamii ya watu ambao watakuwa na mawazo tofauti yenye kuzalisha competition ambayo ndio huwa chachu ya maendeleo mahali popote kule ........

Bila shaka itakuwa umefilisika akili
 
Che mittoga kaka imaan yako watu imewakela sn ila usichoke kuzungumzia haqq mitume na manabii waliletwa kukumbusha watu juu ya swala zima la kumuabudu muumba moja pekee kutoa Zaka na kufanya yale ambayo waja tumeamrishwa sasa basi ikiwa mtu ataki kufanya kile ambacho aliyemuumba kaamrisha basi tafuta sayari yako ambayo utaiunda mwenywe ukaishi ila kama utabaki katika mgongo wa ardhi lazima ufate maamrisho ya muumba wako
 
Asante sana Mkuu.
Binadamu ni Lazima Tupendane na Kuheshimiana.
Maana Wote Tupo Duniani Kwa Mapenzi ya Mungu.
Tofauti Za Imani Zisitutenge Kwenye Kushirikiana Katika Mambo Mengine.
 
Wewe hujanielewa, au umesoma kwa mhemko.
Ukirudia tena kusoma kwa taratibu na kutafakari hapo uliponinukuu utaweza kuelewa vizuri nilivyo andika na kumaanisha.
 
Afadhari wewe umenielewa,
Kuna watu Mada za Dini au Imani wanazisoma kwa mihemko sana no bila kutafakari kwa kina.
Na pia wanaegemea upande mmoja na bila kuruhusu akili itafakari kwenye upande mwingine.
Hao ni vigumu kuchangia Mada za Dini kwa uhuru na bila kuegemea uande wao.
 
Huu si uhayawani sasa
 
Ok
 
Msikilize huyo kiongozi wa. Al-Shabaab anavyo zungumza, kwamba Kenya ndio walioanza kuwavamia na kuwafanyia uhalifu na waliwaua raia wa Somalia wasio na hatia, hivyo nao wanalipa kisasi.
Yaani hapo ni kama Mkuki ni Kwa Nguruwe.
1. kwani mkuu kulipa kisasi sio dhambi?
2. unazungumzia vipi mtu kumpigania MUngu ilihali Mungu ni mkuu kuliko vyote? Mungu anashindwa kujitetea mwenyewe mpaka atumia wanadamu?
 
Sio kosa lako kuuliza hvy yawezekana ilmu uliyopipokea ndo inasababisha ufikirie hicho ulichoandika number 2, pia inawezekana kabisa hauna dini kabisaaaa wewe.
Je mungu kwann aliwaumba binaadam duniani ina maana alishindwa kuiacha pekee yake hadi aumbe wanaadam! !
1. kwani mkuu kulipa kisasi sio dhambi?
2. unazungumzia vipi mtu kumpigania MUngu ilihali Mungu ni mkuu kuliko vyote? Mungu anashindwa kujitetea mwenyewe mpaka atumia wanadamu?
 

Mbona hizo dini zenu mnalazimishia watu, kila mtu anafaa kuwa huru kuchagua imani yake, nyie mumejawa pumba sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…