Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

Sisi hatupigani kwa nguvu zetu tunamtegemea muumba tu hitoria inaonyesha uislamu ulipigana na dola kubwa na zenye nguvu na waislam wakashida kwahy ni muda tu ukifika neno litatimia ilikwepo dola ya rumi na ikasambaratishwa dadeki, enyi ahlul sunna popote mulipo shikamaneni katika jama'aa hakika ahadi ya allah ni yakwel, wala msifarakane enyi maikhwah
Kwa unavyoona wewe huu uislamu ulivyo sasa ni wa kupata msaada kutoka kwa muumba katika vita?ni miaka mingapi toka hivyo vita vianze kupiganwa hadi leo na hakuna hata dalili ya ushindi. Hivi kweli utasema Muumba yupo upande wa waislamu katika hivyo vita? Cheki hali ya uislamu ilivyo sasa hata hiyo kufunga ramadhani tu siku hizi imekuwa mtihani kwa waislamu mwaka hadi mwaka idadi ya watu kutofunga inaongezeka hilo la kutokuswali ndio kabisaa halizungumziki,sasa kweli kwa uislamu huu ndio wa kupigana vita na makafiri na kutegemea ushindi wa kutoka kwa Mungu?

Kama mmeshindwa kuunyoosha uislamu wenyewe ukasimama barabara,hivi vita mnavyopigana ni vya nini? hakika bila kuwa na nguvu na masilaha kama yao hakuna ushindi hapo utakao patikana.
 
Hakika umesema kwel ewe mja yaan waanzishe kundi halafu kundi hilo hilo likianza kufanya kazi tu watumie maelfu ya madola kulitokomeza! !dah bongo zetu zimelala sn
Listen bwana, magaidi au Islamist Terrorists wanaweza wakaulipua msikiti wowote ambao, kwa mtizamo wao, wanaona mafundisho yake haishabihiani na ya kwao hivyo msikiti kama huo kwao huwa ni "The legitimate target of attack".

Uliona hata kwenye Rwandan Genocide of 1994, wale Hutu Extremists waliwaua hata wahutu wenzao "Moderates" ambao hawakuafiki vitendo vyao.

Hivyo leo huwezi ukaniambia Marekani ameanzisha, say Al Qaeda, ISIS, Al Nusra Front, Al Shabab, Taliban nk, ili waje wawaue hao hao wafadhili wao. Hii hata mtoto wa chekechea atakataa.

Ebu jaribuni ku-concoct theory nyingine inayoweza angalau kushawishi, because this one has completely failed to convince let alone to exonerate Muslims from being the main characters in the perpetration of terror.
 
Ni swala la muda na utafika in sha Allah ata kama karne 200 zijazo
Kwa unavyoona wewe huu uislamu ulivyo sasa ni wa kupata msaada kutoka kwa muumba katika vita?ni miaka mingapi toka hivyo vita vianze kupiganwa hadi leo na hakuna hata dalili ya ushindi. Hivi kweli utasema Muumba yupo upande wa waislamu katika hivyo vita? Cheki hali ya uislamu ilivyo sasa hata hiyo kufunga ramadhani tu siku hizi imekuwa mtihani kwa waislamu mwaka hadi mwaka idadi ya watu kutofunga inaongezeka hilo la kutokuswali ndio kabisaa halizungumziki,sasa kweli kwa uislamu huu ndio wa kupigana vita na makafiri na kutegemea ushindi wa kutoka kwa Mungu?

Kama mmeshindwa kuunyoosha uislamu wenyewe ukasimama barabara,hivi vita mnavyopigana ni vya nini? hakika bila kuwa na nguvu na masilaha kama yao hakuna ushindi hapo utakao patikana.
 
Al Shabaab maana yake ni vijana wa kume likiwa ni zao la Al Qaeda sasa hapa utaona jinsi wanavyofunzwa kambini na wanavyotawala. Pia utamsikia msemaji wao. Kwa kweli jamaa wanafanyiwa brainwashing mbaya sana na radicalization ya hali ya juu. BEWARE GUYS.
Hivi wanahabari wanaenda huko huwa wanahakikishiwa usalama wao na hivi vikundi?,haijawahi kutokea mwanahabari akauawa na hivi vikundi
 
Allah akuongoze katika haqq ni wachache sana wenye uelewa kama wako, umeandika kwa usahihi kabisaaaa nitamalizia kwa misemo miwili ya Waja wema wa kwanza ina imam shafii RahimahuLlaah alisema muamini allah tabaraka halafu kua na msimamo wa kule unachokiamini usiyumbe, wapili ni swahaba Ali bin abdultwalib alisema ukitaka kujua kundi gani lipo sawa basi angalieni mishale ya maadui inaelekea kwa wingi wapi. Allahmdulilah na leo twaona mataifa yamekusanyana kuizima nuru ya uislamu ila waislam wamelala hawajitambui kabisa sasa hao mashabab wametoka kuinusuru dini.
Upo sahihi lakini kuinusuru dini siyo kwa kuua wengine
 
Listen bwana, magaidi au Islamist Terrorists wanaweza wakaulipua msikiti wowote ambao, kwa mtizamo wao, wanaona mafundisho yake haishabihiani na ya kwao hivyo msikiti kama huo kwao huwa ni "The legitimate target of attack".
Uliona hata kwenye Rwandan Genocide of 1994, wale Hutu Extremists waliwaua hata wahutu wenzao "Moderates" ambao hawakuafiki vitendo vyao.
Hivyo leo huwezi ukaniambia Marekani ameanzisha, say Al Qaeda, ISIS, Al Nusra Front, Al Shabab, Taliban nk, ili waje wawaue hao hao wafadhili wao. Hii hata mtoto wa chekechea atakataa.
Ebu jaribuni ku-concoct theory nyingine inayoweza angalau kushawishi, because this one has completely failed to convince let alone to exonerate Muslims from being the main characters in the perpetration of terror.
Labda hatuelewani mie sikatai hao wanaofanya huo ugaidi kuwa ni waislamu maana kama nilivyosema kuwa yeyote anaweza kufanya ugaidi,sasa kama hao magaidi wanaweza kuuwa hadi waislamu wenzao kisa wanatofautiana basi si ajabu pia hata kuwaua na hao wamarekani kwa sababu hata hao marekani tunaona wanapinga ugaidi.

Mara kibao inasemwa kuwa wanachokifanya hao magaidi ni kinyume na mafunzo ya dini yao na ndiyo maana kuna waislamu hupinga hayo matendo yao ila bado watu wanaona ugaidi unahusiano na uislamu,sasa wewe unataka kuwatoa marekani(siseme kama kweli wanahusika ama sivyo) kisa nao ni target huoni sababu haina mashiko?
 
Hujajibu swali uislamu huu ndio wa kusaidiwa na Muumba?
Kati ya Waislamu niliochangia nao mada,
Hakika, wewe @Tzmbogo, Una Busara za kutosha Sana.
Hongera.
Iko siku utaipata Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Mungu na akufunulie Hekima Zaidi.
 
Kati ya Waislamu niliochangia nao mada,
Hakika, wewe @Tzmbogo, Una Busara za kutosha Sana.
Hongera.
Iko siku utaipata Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Mungu na akufunulie Hekima Zaidi.
Mara nyingi watu husema waislamu hujiona wako sahihi sana na hadi hutaka kulazimisha wengine kufuata mila zao,je wewe unafikiri kwanini wanajihisi hivyo?
 
Mara nyingi watu husema waislamu hujiona wako sahihi sana na hadi hutaka kulazimisha wengine kufuata mila zao,je wewe unafikiri kwanini wanajihisi hivyo?
Ni Kweli.
Kila Jamii inajiona iko sahihi katika mila zake.
Bila kujali kama mila hizo ni sahihi au la.
Mfano.
Wamasahi walijiona wako sahihi katika desturi ya kukeketa Wanawake.
Hivyo basi hata Waislamu wanaona wako sahihi katika desturi yao ya Ibada.
Na wanapenda kuona watu wa dunia yote wanakuwa Waislamu.
Hali hii inapelekea wale Waislamu wa siasa kali kufikia kuwalazimisha baadhi watu kuwa Waislamu.
Kama vile baadhi ya Waislamu kuwaita watu wasio waislamu jina hasi la Makafiri.
Kuna baadhi ya Waislamu hadi wanakataa kuwaozesha binti zao kwa Jamii ya Kikafiri.
Wasije nao wakawa Makafiri.

Hivyo basi jibu lako ni Ndio,
Kwakuwa tu katiba ya nchi inawapa uhuru watu kufuata mila zao ambazo hazivunji Hali za binadamu na Katiba.
Bila hivyo nyinyi ndugu zetu mlitaka watu wote tuwe Waislamu ama kwa hiyari yetu au kwa kulazimishwa.
Mnataka kusiwe na mtu ambaye ni Kafiri hapa duniani.
Bali wote tuwe Waislamu Safi.

Kwasababu ninyi wenyewe Waislamu mnajiona mko sahihi kuliko wengine.

Je ni kweli mko sahihi kuliko wengine ?

Hao wengine ni akina nani hasa ?

Haya maswali yanahitaji utafiti huru kupata majibu shahihi.

Ramadhani Kareem.
 
Hili dhehebu ni zaidi ya utumwa aisee mtu analazimishwa kwenda kusali!!!
 
Sasa kama wanaheshimu taratibu na sharia za kwao si wafanye hayo kwenye jamii zao kwenda kuua watu wengine wasio na hatia mfano westgate kenya na sehemu zingine ni kwamba allah anakuwa amewatuma au niaje??
Kaka hao jamaa akili zao zinaongozwa na majini hapa hawatakuelewa hata kidogo na soon utaitwa kafiri
 
Acha kujificha kwenye ukiristu mjing.a wewe. Sri lanka wamevamia wapi kundi la ISIL hadi wawauwe vile? Kwa nini wasivamie kambi za jeshi kulipiza kisasi? Wadaganye hao wasioenda shule
Ni Sawa tu, rommy shabby,
Hapo nimeandika Kama Msomi, mtu aliyeelimika huwa haegamii upande fulani katika kuchambua mambo.
Ingawa mimi mwenyewe ni Mkristo Lialia, ila inapokuja hoja ya Kishuleshuke huwa naachaga hisia zangu pembeni na kusimamia haki katika mada husika.
Somo la Filosofia ndivyo linavyotaka.
Kusimama katika Kweli.

( Ila kwenye majukwa ya ubishani huwa nawaponda sana hao Vijana Mashujaa yaani, Al-Shabaab pamoja na Dini yao ya Kiislamu )
Hapo nakuwa mbinafsi zaidi, tusameheane tu, ndivyo binadamu tulivyo.
 
Al Shabaab maana yake ni vijana wa kume likiwa ni zao la Al Qaeda sasa hapa utaona jinsi wanavyofunzwa kambini na wanavyotawala. Pia utamsikia msemaji wao. Kwa kweli jamaa wanafanyiwa brainwashing mbaya sana na radicalization ya hali ya juu. BEWARE GUYS.


Ndiyo tatizo la ujinga na kutokuwa na elimu. Waache tu wauliwe nami ninahapa nikimkamata mmoja wao ni kuchinja tu, pumbavu zao. Basi hapa utakuta kuna watanzania wasio na akili nao wameenda kumsuppport dada yao FaizaFoxy kwa malipo ya kashata na kahawa.
 
Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.
Shetwan tu huyo, usichangamane na wenzio ndio Imani gani hiyo, matendo ya huruma na ya IBADA kwa mwenyezi Mungu yanatambulika kutoka kwa watu uliochangamana nao... Ushenzi na ujinga wa kishetani kwa mnachokiamini... Dhambi tupuuu
 
Sasa kama wanaheshimu taratibu na sharia za kwao si wafanye hayo kwenye jamii zao kwenda kuua watu wengine wasio na hatia mfano westgate kenya na sehemu zingine ni kwamba allah anakuwa amewatuma au niaje??


Hakuna watu wapumbavu kama hawa vijana ama vikundi vya majeshi ya waislam wasiojitambua kiakili. They are easy to brainwash and make no sense at all, we umeona wapi eti Mungu anaruhusu watu wauane hovyo.
 
Kiukweli hawa Vijana wa Kiume ndio wanaotekeleza kwa usahihi misingi ya Dini.
Ona jinsi wanavyothamini umuhimu wa Swala, hadi wanahamasisha wanaojisahau kwaenda kuswali.
Ona wanavyokagua huduma za jamii kwa umakini, tena kwa upole kabisa.
Kutokana na kuwa na msimamo thabiti wa Dini yao, wanatakiwa waishi katika nchi yao ya pakee yao.
Kwani hawawezi kistahimili kuheshimu utamadauni mwingine wa maisha, wako na msisitizo mkubwa wa kufuata yale tu Dini yao inataka kufanya kwa muda wote.
Na hawataki dhihaka au upinzani wowote ule, katika taratibu zao za mwongozo wao, la sivyo wanaadhibu vikali bila kuuliza uliza.
Kwa maoni yangu, kutokana na mwongozo wao, hawa Vijana wako sahihi kabisa.
-Mwizi na akatwe mkono
-Mzinzi na apigwe mawe
-Anayedhihaki Dini na achinjwe
-Kafiri na aitwe Kafiri
Hakuna unafki hapo, Jamaa wako vizuri kabisa na Sharia yao.


Ukisikia ujinga ndiyo huu. Vijana hawana kazi yeyote zaidi ya unafiki wa dini huku wakifanya vitu vinavyomuudhi Mungu. Washenzi tu hawa vijana na hawajuwi maana ya dini.
 
Tembelea Jukwaa la Jamii Intelligent utanikuta.
Toka jana nachangia mada inayosema.

" Wakatoriki ni nini hii ? "

Soma na mada nyingine huko utaniona tu.
Ni Jukwaa ninalolipenda sana.

[emoji117]Nimesema hapo kuwa, hii mada nimeiandika sio kwa ubinafsi wangu bali ki uchambuzi wa Kisomi.

Kwanza wewe sikuoni kwenye majukwaa ya Dini.
Huko sisi wenyewe tunajuana kuna akina Masudi mushahala, huko wataalamu wa mambo ya imani.

Hivi unajua kuwa Marekani ndio waanzilishi wa Al-Qaeda ?
Na huyo Osama Bin Laden alipata mafunzo ya ujasusi huko Marekani ?

Soma Kijana.
Wewe ni walewale wauwaji wanaomfuata Mungu wa kishetani anayeruhusu mtu aue....
 
Back
Top Bottom