Al-Shabaab wateka Hotel na kuua watu 12 Somalia

Al-Shabaab wateka Hotel na kuua watu 12 Somalia

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Maafisa wa Usalama wamesema takriban watu 12 wameuawa baada ya kundi la Al-Shabaab lenye uhusiano na wanamgambo wa Al Qaeda kuzingira na kushambulia Hoteli ya Hayat iliyopo Mji Mkuu wa Mogadishu.

Imeelezwa kuwa Al Shabaab imekuwa ikipigania kuiangusha serikali ya Somalia kwa zaidi ya miaka 10 na kutaka kujiwekea utawala wake kwa kutumia sheria kali za Kiislamu.

Hoteli ya Hayat hutumiwa zaidi na watu maarufu, Wabunge na Maafisa wengine wa serikali. Kundi la Al-Shabaab limekiri kuhusika na shambulio hilo.

===================

Security officials say 12 people have been killed after al-Shabab militants stormed a hotel in the Somali capital, Mogadishu.

Police said attackers detonated two explosives outside the hotel before entering the building and opening fire.

They were reported to be holed up on the top floor of the Hotel Hayat, hours after the attack began.

A special police unit is said to have rescued dozens of guests and staff from the hotel.

"The security forces continued to neutralise terrorists who have been cordoned inside a room in the hotel building. Most of the people were rescued, but at least eight civilians were confirmed dead so far," said an official, Mohamed Abdikadir.

Earlier, a website affiliated to al-Shabab said a group of militants had "forcibly entered" the hotel and were "carrying out random shooting".

The Hayat is described as a popular location for employees of the federal government to meet.

Nine people were injured and carried away from the hotel, the head of Mogadishu's Aamin ambulance services, Abdikadir Abdirahman told Reuters news agency earlier.

Source: Reuters
 
Mimi naamini kama ilivyokua katika mrima wa karmeli Mungu wa kweli alijitetea mwenyewe...

Hata saiz mwisho wa siku imani ya kweli itajulikana , tena sio kwa kuua wala kusababisha machafuko....nakeleka na hao watu
 
Uislam gani wa kuua wasio hatia,hao wahuni tu,kwanza silaha na pesa za operation kila siku wanatoa wapi!?..pwani ya mashariki mwa afrika yote inawaka Moto,toka Somalia,kenye,tz mpaka msumbiji..na kote huko Kuna 'nishati'
The report by a Mogadishu-based research group, the Hiraal Institute, said the group uses various methods to procure weapons, including direct purchases from local black markets, and from arms traders contracted to buy and deliver weapons from abroad, mainly Yemen.


 
Wengi mkisikia habari kama izi mnausishà matendo aya na uislamu jibu ni ili uislamu uko mbali kabisa na matendo yao awa wanapigana kwa personal gain zao na wala siyo dini ivi vikundi ni vya watu wanaviendesha kwa manufaa yao cha kujiuliza wanapata wapi silaha mpya,magari,chakula na huduma nyingine?
 
cha kujiuliza wanapata wapi silaha mpya,magari,chakula na huduma nyingine?
 
d1d94c3446613053b999ccaafd69b7b04c8602f2_00.jpg
 
Back
Top Bottom