Al-Shabaab wateka Hotel na kuua watu 12 Somalia

Al-Shabaab wateka Hotel na kuua watu 12 Somalia

Wameanza zamani sana hawa watu ila ajabu watu wanaohusisha na Uislamu wakati hata Mtume Muhammad (upon him be peace and blessing of Allah)ameshawakataa zamani watu wa aina hiiView attachment 2329681
Mtume (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) kawaita Makhawaarij "Mbwa wa Motoni".

It was narrated that Ibn Awfa said:
"The Messenger of Allah said: 'The Khawarij are the dogs of Hell.'"

حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا إِسْحَاقُ الأَزْرَقُ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنِ ابْنِ أَبِي أَوْفَى، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ الْخَوَارِجُ كِلاَبُ النَّارِ ‏"‏ ‏.‏

Grade: Sahih (Darussalam)
Reference : Sunan Ibn Majah 173
In-book reference : Introduction, Hadith 173
English translation : Vol. 1, Book 1, Hadith 173
Report Error | Share | Copy ▼

Wametajwa wasifu wao katika Hadith tofauti tofauti zilizothibiti. Kuna kitabu kidogo niliwahi kukisoma kuhusu hawa watu.
 

Attachments

Wengi mkisikia habari kama izi mnausishà matendo aya na uislamu jibu ni ili uislamu uko mbali kabisa na matendo yao awa wanapigana kwa personal gain zao na wala siyo dini ivi vikundi ni vya watu wanaviendesha kwa manufaa yao cha kujiuliza wanapata wapi silaha mpya,magari,chakula na huduma nyingine?
mnachom kisu wanaowappoint kweny ukwel halaf hawa wahuni hata kuwakemea kwa maneno hamuez , dini ya kinafik hii
 
so you are allowed to kill those who are not innocent ?
notes_IMG_20220821_224733.png
 
Uislam gani wa kuua wasio hatia,hao wahuni tu,kwanza silaha na pesa za operation kila siku wanatoa wapi!?..pwani ya mashariki mwa afrika yote inawaka Moto,toka Somalia,kenye,tz mpaka msumbiji..na kote huko Kuna 'nishati'
Somalia Kuna nishati Gani?
 
Wengi mkisikia habari kama izi mnausishà matendo aya na uislamu jibu ni ili uislamu uko mbali kabisa na matendo yao awa wanapigana kwa personal gain zao na wala siyo dini ivi vikundi ni vya watu wanaviendesha kwa manufaa yao cha kujiuliza wanapata wapi silaha mpya,magari,chakula na huduma nyingine?
Kuna sheikh mkubwa duniani anayepinga mambo kama haya?
 
Mtume (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) kawaita Makhawaarij "Mbwa wa Motoni".

It was narrated that Ibn Awfa said:
"The Messenger of Allah said: 'The Khawarij are the dogs of Hell.'"

حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا إِسْحَاقُ الأَزْرَقُ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنِ ابْنِ أَبِي أَوْفَى، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ الْخَوَارِجُ كِلاَبُ النَّارِ ‏"‏ ‏.‏

Grade: Sahih (Darussalam)
Reference : Sunan Ibn Majah 173
In-book reference : Introduction, Hadith 173
English translation : Vol. 1, Book 1, Hadith 173
Report Error | Share | Copy ▼

Wametajwa wasifu wao katika Hadith tofauti tofauti zilizothibiti. Kuna kitabu kidogo niliwahi kukisoma kuhusu hawa watu.
Wewe unawaita hivyo,Wenyewe mbona hawajiiti makhawaarij...Wenyewe wanajiita Waislam wa kweli
 
Back
Top Bottom