Kwani unapoambiwa Alshabab ni affiliates WA alqaida na ISIS wewe unaelewa nini ? Au unafikiri hiyo mitandao ya Alqaida inapata wapi pesa , kuna mtandao mkubwa behind hivyo vikundi , mabwenyenye WA Arabian gulf kama Qatar ,Saudia ,Oman ,UAE NK ndio wanadonate resources ili kuendesha hayo makundi$23m ni pesa nyingi,pesa,elimu ya pa kupata silaha,ujuzi wa mapigano..wanapataje!?..hasa mtaji walioanzia