Alafu nyie watoto wa kishua, sio kila mtoto wa uswahilini ni kibaka. Wakati mwingine, please show us some respect

Wakishua wanazingua sana mzee..
 
Ngoja niuchune na yangu moyoni.Sad!
 
Watanzania tuna kitu kimoja muonekano wako mtu anavokuangalia uso na mavazi anaanza kujenga fikra tofaut kichwan kwake

Huku mtaan jiran mwenye gar anapewa Salam za kutosha yaan utafikiri wanatoa msaada wa kula
Watu kama hawa wakikutana na Kichaa Dodoma watamuogopa na kudhania ni mtu wa usalama wa Taifa..
 
Kijana vaa vzuri uonekane mtu wa maana, acha ku justify ujinga wako kwasababu zisizo mashiko... Pia acha wizi kwasababu personality ndio uhalisia wa ulivyo kwa kiasi kikubwa... Jirekebishe otherwise utakosa mema ya nchi
Mema ya nchi sio kwa mavazi. Mema ya nchi ni kwa connection. Vaa vizuri bila kuwa na connection uone jinsi utakavyosugua gaga..
 
I'm married to the streets. I know all that sh!t Mzee..
ndo shida sasa

watu wanadhani kuishi kwenye umaskini kunawafanya wawe na upekee fulani

sio kila mwenye pesa ana dharau na sio kila anaekudharau anakudharau kwasababu ya umasikini wako

ukishajiwekea imani za ajabu kichwani basi utaishi kama digi digi

halafu dharau ni issue ya kawaida, unadhani wenye pesa hawakutani nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…