Alafu nyie watoto wa kishua, sio kila mtoto wa uswahilini ni kibaka. Wakati mwingine, please show us some respect

Hawa watoto waliolaaniwa (Kishua) baba zao ndiyo vibaka wa mali zetu za umma, laana wanazopata baba zao kutokana na wizi wa umma wanakuja kutulaumu sie.
 
Upo kama mimi mkuu,

Wale wanaovaa vizuri sana na mtu anayejifanya wa dini sana huwa nakuwa naye makini mara mbili zaidi.

Kwa bahati mbaya sana asilimia kubwa ya wale wanaojifanya wa dini sana huwa sio watu wazuri , wengi wanaficha mambo yao kwa mgongo wa dini.

Mtu aliyepo smart sana kimavazi kwa asilimia kubwa kuna madhaifu ambayo anayaficha. Mara nyingi unakuta financially sio stable, au ana mapungufu katika utendaji wa kazi , hivyo anaficha madhaifu yake kwa looks.

Ni mara chache ukute tajiri au mtu competent akihangaika na mavazi.

Kwa hiyo ndugu hao unaokutana nao ni maskini wenye hela.
 
Zali la mentali🎶🎶🎶 Dada habari naomba niulize swali, maskini koma hii ngoma ya ghali.
🎶🎶🎶🎶 Naitwa Vicky nina miaka 22 toka familia ya kitajiri.
 
Uwe na hela uvae nguo Moja wiki hizo zitakue hela za ndagu Raha ya utajiri pesa itumike maana pesa kazi yake kutumia
 
Kijana vaa vzuri uonekane mtu wa maana, acha ku justify ujinga wako kwasababu zisizo mashiko... Pia acha wizi kwasababu personality ndio uhalisia wa ulivyo kwa kiasi kikubwa... Jirekebishe otherwise utakosa mema ya nchi
Asalamaleko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…