Alama hizi za bra zinatokaje?

Alama hizi za bra zinatokaje?

mie niliwah tongozwa bwana😁😁😁..alikua mdada mtu mzima jm 40 hv amedivorce .sasa sikua namwelewa...anamanisha nn..kila siku ananiambia ww ktoto ww una mapaja mazuri sana na kalio zuri bas napotezea..akaanza nialika kusomea kwake kwake..tukiwa tunasoma ananipapasa mapajani mie sijui kitu kbs..kuna siku akasema aniunganishe niwe model wa kutangaza chupi..mh nikaogopa ..khaa..akaja akaniambia live hahaa nilikuwa naota mandoto mabaya...nw ameolewa tena sweden

Haya mambo yapo sana, kwenu wanawake yamekuwa mengi sana, sana.

Na kuna wake za watu kibao wana practice hii kitu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]nahis huelew..yaan mm mgongon na bagan imechora kbs jaman..eti unavutiwa[emoji16][emoji16][emoji16] mm hapana nimeanza zichukia..maana janq dingi aliniona akamuask mkewe[emoji16][emoji16]nilijisikia ovyo[emoji58]
Huyo dingi yako naye vipi....sehemu nyingine atuachie sisi kuziangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ww una shida gan kichwan mwako?sasa yalale yalegee ww yanakusumbua kitu gani??nyuzi nyingi sana upo very harsh..umelelew kwa mateso sana inaonekana
Mimi huyo? Nilelewe Kwa mateso? Wazazi wangu wakiwa wanafanya nini sasa ama ulizani walikua wanajambiana jambiana badala ya kunipa malezi bora ambayo money can't buy?
 
Mimi napenda kuvaa top kwa ndani na Kuna Bra nyingine zimeingia hivi karibuni hazina mikanda ya kujichora hivyo.
kama una maziwa madogo top sawa..nami nimezivaa sana hizo top ..ukiwa na maziwa makubwa top inayakusanya kifuani ..inakuwa km uneweka furushi
 
kw
Mimi huyo? Nilelewe Kwa mateso? Wazazi wangu wakiwa wanafanya nini sasa ama ulizani walikua wanajambiana jambiana badala ya kunipa malezi bora ambayo money can't buy?
enda zako...usipende kujifanya unajua kila.kitu..nimekuona nyuzi nyingi sana had mamen wenzako wanakuuliza una shida gan..yan unajiona ndo unajua kutukana ww kebehi ww..mzuri ww hehehhee *****
 
80% ya wanawake wanavaa bra ambazo sio size yao na hapo ndio tatizo linapoanzia



Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom