Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeeeh weee alikuwa anawapa dawa ya kuponya ugwadu (nyege).Nyoka huyo huyo bustani ya heden alionekana kumdanganya adam na eva kula tunda la kati kati uyo uyo anaponya tuamini lipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Manka[emoji7]
Mod niombe mnirekebishie thread tittle yangu isomekewakuu habari za majukumu,mara kwa mara mkurugenz mkuu wa shirika la afya duniani anapotoa taarifa zake juu UVIKO-19 (ugonjwa wa virusi vya corona-19) nimekuwa napoteza focus ya kumsikiliza na badala yake hubaki kuitathmini nembo ya WHO ambayo ina nyoka ndani yake,swali la msingi kulikuwa na ulazima wa kumtumia kiumbe huyo ? Mbona kwangu hana mvuto wowote na zaidi naona anaichafua logo hyo,pia kwetu bongo kwenye sh 500 pia ya noti pia kulikuwa na picha ya nyoka pia was it neccesary? Mbona tuna wanyama wengi na wazuri wanaovutia,au kuna maelezo nyuma ya tuvionavyo?
wajuvi wa mambo karibuni mtujuze View attachment 1449817View attachment 1449818
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo mamaangu nimekumiss[emoji8][emoji8]
Nipo mzee baba, kwema kabisa huko!Njoo mamaangu nimekumiss[emoji8][emoji8]
Njoo chumban manka tuzungumze.
Poapoa mchuchu