....Na mimi niliwahi kuelezwa hivyo kuwa ni Drancuculus Medinensis, ambaye huishi kwenye maeneo yenye maji, na huambikiza kupitia mayai yake ambapo baadae mnyoo huo hutotolewa na kukaa chini ya ngozi , mara nyingi hushambulia miguu. Hufanya kidonda na kumtoa watu hutumia kijiti, kumviringisha mnyoo ktk kijiti na kumvutia nje, kama anavyoonekana kwenye nembo ya Muhimbili.But, wapo wenye mawazo tofauti kuwa nyoka amekuwa akitjwa katika simulizi za kale kama kiumbe ambae alikuwa akisaidia katika tiba......