CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Kwani kila kitu ni Ushirikina? Acha kuishi kwa kukariri Mkuu
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kila kitu ni Ushirikina? Acha kuishi kwa kukariri Mkuu
Mkuu jibu lake utalipata kutoka katika kitabu cha Hesabu 21:4-9Habari za jumapili wadau,
Napenda kuuliza kujua uhusiano uliopo kati ya Nyoka na taasisi ya Afya kwani naona LOGO za baadhi ya taasisi zikiwa imechorwa Nyoka.
Mfano mzuri ni Muhimbili Hospital... Karibuni sana wadau kwa Masada.
Hiyo ni scenario moja...Yule wa Muhimbili sio nyoka, ni aiina fulani ya mnyoo, ambae akikomaa hukutembea ndani ya ngozi hadi miguuni, huondolewa kwa kumzingusha kwenye kijiti chenye panda. Yule anaonekana kama nyoka kwenye nembo ya hospiittal ya Muhimbili ni mnyoo, na kile kijiti, ndicho aina ya kijiti kinachotumika kumtolea mwilini, hii ni kwa Mujibu wa mtaalamu wa muhimbili, aliefanya kipindindi na radio hata hivyo shirika la afya la umoja mataifa na hutumia alama hiyo ya kijiti na mnyoo.
Ila sijakuelewa unamaanisha nini, umeandika kwa kifupi sana, scenario, unamaanisha mazingira au maana nyingine, wengine kiswangilishi kinatupita mbali.Hiyo ni scenario moja...